Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 26:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Huichafua bahari kwa uwezo wake, Na kumtema Rahabu kwa akili zake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa nguvu zake aliituliza bahari; kwa maarifa yake alimwangamiza dude Rahabu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa nguvu zake aliituliza bahari; kwa maarifa yake alimwangamiza dude Rahabu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa nguvu zake aliituliza bahari; kwa maarifa yake alimwangamiza dude Rahabu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari; kwa hekima yake alimkata Rahabu vipande vipande.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari; kwa hekima yake alimkata Rahabu vipande vipande.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Huichafua bahari kwa uwezo wake, Na kumtema Rahabu kwa akili zake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 26:12
16 Marejeleo ya Msalaba  

Hekima na amri zina yeye [Mungu]; Yeye anayo ushauri na fahamu.


Nguzo za mbingu zatetemeka, Na kustaajabu kwa kukemea kwake.


Mungu haondoi hasira zake; Hao wamsaidiao Rahabu huinama chini yake.


BWANA aketi juu ya Gharika; Naam, BWANA ameshika hatamu ya ufalme milele.


Wewe umeipasua bahari kwa nguvu zako, Umevivunja vichwa vya nyangumi juu ya maji.


Kwa maana kutakuwa siku ya BWANA wa majeshi juu ya watu wote wenye kiburi na majivuno, na juu ya yote yaliyoinuka; nayo yatashushwa chini.


Maana mimi ni BWANA, Mungu wako, niichafuaye bahari, mawimbi yake yakavuma.


Amka, amka, jivike nguvu, Ee mkono wa Bwana; Amka kama katika siku zile za kale, Katika vizazi vile vya zamani.


BWANA asema hivi, awapaye watu jua, ili kuwa nuru wakati wa mchana, na amri za mwezi na nyota, ili kuwa nuru wakati wa usiku, aichafuaye bahari, hata mawimbi yake yakavuma; BWANA wa majeshi, ndilo jina lake;


Basi mimi, Nebukadneza, namhimidi Mfalme wa mbinguni, namtukuza na kumheshimu; maana matendo yake yote ni kweli, na njia zake ni za adili; na wale waendao kwa kutakabari, yeye aweza kuwadhili.


Lakini hutujalia sisi neema iliyozidi; kwa hiyo husema, Mungu huwapinga wajikuzao, bali huwapa neema wanyenyekevu.