Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 26:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nguzo za mbingu zatetemeka, Na kustaajabu kwa kukemea kwake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mungu akitoa sauti ya kukemea, nguzo za mbingu hutetemeka na kustaajabu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mungu akitoa sauti ya kukemea, nguzo za mbingu hutetemeka na kustaajabu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mungu akitoa sauti ya kukemea, nguzo za mbingu hutetemeka na kustaajabu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nguzo za mbingu nazo zatetemeka, zinatishika anapozikemea.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nguzo za mbingu nazo zatetemeka, zinatishika anapozikemea.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nguzo za mbingu zatetemeka, Na kustaajabu kwa kukemea kwake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 26:11
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo nchi ilipotikisika na kutetemeka, Misingi ya mbinguni ikasukasuka Na kutikisika, kwa sababu alikuwa na ghadhabu.


Yeye hawategemei watakatifu wake; Naam, mbingu nazo si safi machoni pake.


Amepiga duara kuwa ni mpaka juu ya uso wa maji, Hata hapo mwanga na giza vinapopakana.


Huichafua bahari kwa uwezo wake, Na kumtema Rahabu kwa akili zake.


Ndipo nchi iliyotikisika na kutetemeka, Misingi ya milima ikatingizika; Ikatikisika kwa sababu alikuwa na ghadhabu.


Milima hutetema mbele zake, navyo vilima huyeyuka; nayo dunia huinuliwa mbele za uso wake, naam, dunia na wote wakaao ndani yake.


Ni nani awezaye kusimama mbele za ghadhabu yake, naye ni nani awezaye kukaa katika ukali wa hasira yake? Hasira yake kali humwagwa kama moto, nayo majabali yapasuliwa na yeye.


Sema na Zerubabeli, mtawala wa Yuda, ukisema, Nitazitikisa mbingu na dunia;


Lakini siku ya Bwana itakuja kama mwizi; katika siku hiyo mbingu zitatoweka kwa mshindo mkuu, na viumbe vya asili vitaunguzwa, na kufumuliwa, na nchi na kazi zilizomo ndani yake zitateketea.


Kisha nikaona kiti cha enzi, kikubwa, cheupe, na yeye aketiye juu yake; ambaye nchi na mbingu zikakimbia uso wake, na mahali pao hapakuonekana.


Humwinua mnyonge kutoka mavumbini, Humpandisha mhitaji kutoka jaani, Ili awaketishe pamoja na wakuu, Wakakirithi kiti cha enzi cha utukufu; Kwa maana nguzo za dunia zina BWANA, Naye ameuweka ulimwengu juu yake.