Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 26:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Amepiga duara kuwa ni mpaka juu ya uso wa maji, Hata hapo mwanga na giza vinapopakana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Amechora duara juu ya uso wa bahari, penye mpaka kati ya mwanga na giza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Amechora duara juu ya uso wa bahari, penye mpaka kati ya mwanga na giza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Amechora duara juu ya uso wa bahari, penye mpaka kati ya mwanga na giza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amechora mstari wa upeo juu ya maji, ameweka mpaka wa nuru na giza.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji, ameweka mpaka wa nuru na giza.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Amepiga duara kuwa ni mpaka juu ya uso wa maji, Hata hapo mwanga na giza vinapopakana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 26:10
13 Marejeleo ya Msalaba  

Muda nchi idumupo, majira ya kupanda, na mavuno, wakati wa baridi na wakati wa joto, wakati wa kaskazi na wakati wa kusi, mchana na usiku, havitakoma.


Nguzo za mbingu zatetemeka, Na kustaajabu kwa kukemea kwake.


Ndipo BWANA akamjibu Ayubu katika upepo wa kisulisuli, na kusema,


Iko wapi njia ya kuyafikia makao ya nuru? Na giza pia, mahali pake ni wapi?


Upate kuipeleka hata mpaka wake, Upate kuyaelewa mapito ya kuiendea nyumba yake?


Je! Nuru hutengwa kwa njia gani, Au upepo wa mashariki hutawanywaje juu ya nchi?


Hukusanya maji ya bahari chungu chungu, Huviweka vilindi katika ghala.


Alipozithibitisha mbingu nilikuwako; Alipopiga duara katika uso wa bahari;


Alipoipa bahari mpaka wake, Kwamba maji yake yasiasi amri yake; Alipoiagiza misingi ya nchi;


Je! Hamniogopi mimi? Asema BWANA; hamtatetemeka mbele za uso wangu; mimi niliyeweka mchanga kuwa mpaka wa bahari, kwa amri ya daima, isiweze kuupita? Mawimbi yake yajapoumuka-umuka, hayawezi kushinda nguvu; yajapovuma sana, hayawezi kuupita.