Je! Ahoji na mazungumzo yasiyo na faida, Au kwa maneno ambayo hawezi kufanya mema kwayo?
Yobu 26:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Ndipo Ayubu akajibu, na kusema, Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Kisha Yobu akajibu: Biblia Habari Njema - BHND Kisha Yobu akajibu: Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Kisha Yobu akajibu: Neno: Bibilia Takatifu Kisha Ayubu akajibu: Neno: Maandiko Matakatifu Kisha Ayubu akajibu: BIBLIA KISWAHILI Ndipo Ayubu akajibu, na kusema, |
Je! Ahoji na mazungumzo yasiyo na faida, Au kwa maneno ambayo hawezi kufanya mema kwayo?
Jumla ya vile vyombo vilivyofanywa kwa ajili ya hiyo maskani, hiyo maskani ya ushuhuda ni hii, kama vilivyohesabiwa, kama maagizo ya Musa yalivyokuwa, kwa ajili ya utumishi wa Walawi kwa mkono wa Ithamari, mwana wa Haruni, kuhani.