Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 24:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wako waziondoao alama za mipaka; Huyachukua makundi na kuyalisha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watu wanaoondoa alama za mipaka ya mashamba, na wengine huiba mifugo na kuilisha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watu wanaoondoa alama za mipaka ya mashamba, na wengine huiba mifugo na kuilisha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watu wanaoondoa alama za mipaka ya mashamba, na wengine huiba mifugo na kuilisha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watu husogeza mawe ya mpaka; huchunga makundi ya wanyama waliyonyang’anya kwa nguvu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watu husogeza mawe ya mpaka; huchunga makundi ya wanyama waliyonyang’anya kwa nguvu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wako waziondoao alama za mipaka; Huyachukua makundi na kuyalisha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 24:2
10 Marejeleo ya Msalaba  

mara Waseba wakawashambulia, wakawachukua wakaenda nao; naam, wamewaua hao watumishi kwa makali ya upanga, mimi peke yangu nimepona, mimi tu, kukuletea habari.


Huyo alipokuwa akali akinena, akatokea na mwingine, na kusema, Wakaldayo walifanya vikosi vitatu, wakawaangukia ngamia, wakaenda nao, naam, wamewaua wale watumishi kwa makali ya upanga; mimi peke yangu nimepona, mimi tu, kukuletea habari.


Kwa maana amewaonea na kuwaacha maskini; Amenyang'anya nyumba kwa jeuri, wala hataijenga.


Kama nchi yangu imelia juu yangu, Na matuta yake hulia pamoja;


Mavuno yake wale wenye njaa huyala, Na kuyatwaa hata kuyatoa miibani, Nao wenye kiu huzitwetea mali zao.


Usiiondoe alama ya mpaka wa zamani, Uliowekwa na baba zako.


Usiiondoe alama ya mpaka wa zamani; Wala usiingie katika mashamba ya yatima;


Wakuu wa Yuda ni kama watu waondoao alama ya mpaka; nitawamwagia ghadhabu yangu kama maji.


Usiiondoe alama ya mpaka wa jirani yako, waliouweka watu wa kale katika urithi wako, utakaorithi ndani ya nchi akupayo BWANA, Mungu wako, uimiliki.


Na alaaniwe aondoaye mpaka wa jirani yake. Na watu wote waseme, Amina.