Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 23:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Laiti ningejua mahali niwezapo kumwona, Nifike hata hapo anapokaa!

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Laiti ningejua mahali nitakapompata Mungu! Ningeweza kwenda hata karibu naye.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Laiti ningejua mahali nitakapompata Mungu! Ningeweza kwenda hata karibu naye.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Laiti ningejua mahali nitakapompata Mungu! Ningeweza kwenda hata karibu naye.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Laiti ningefahamu mahali pa kumwona; laiti ningeweza kwenda mahali akaapo!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Laiti ningefahamu mahali pa kumwona; laiti ningeweza kwenda mahali akaapo!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Laiti ningejua mahali niwezapo kumwona, Nifike hata hapo anapokaa!

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 23:3
13 Marejeleo ya Msalaba  

Hakika ningenena naye huyo Mwenyezi, Nami nataka kuhojiana na Mungu.


Rafiki zangu hunidharau; Lakini jicho langu humwagia Mungu machozi;


Laiti angemtolea mtu hoja mbele ya Mungu, Amtetee na mwanadamu mbele ya jirani yake.


Hata leo malalamiko yangu yana uchungu; Pigo langu ni zito zaidi ya kuugua kwangu.


Ningeiweka kesi yangu mbele yake, Na kukijaza kinywa changu hoja.


Naam, katika njia ya hukumu zako Sisi tumekungoja, Ee BWANA; Shauku ya nafsi zetu inaelekea Jina lako na ukumbusho wako.


Hakika wewe u Mungu ujifichaye nafsi yako, Ee Mungu wa Israeli, Mwokozi.


Ijapokuwa maovu yetu yanatushuhudia, lakini utende wewe kwa ajili ya jina lako, Ee BWANA, maana kurudi nyuma kwetu ni kwingi; tumekutenda dhambi.


Basi, kwa kuwa neno hili limebaki kwamba wako watu watakaoingia humo, na wale waliohubiriwa habari ile zamani walikosa kuingia kwa sababu ya kuasi kwao,