Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 22:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwani ndipo utakapojifurahisha katika Mwenyezi, Na kuinua uso wako kumwelekea Mungu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

basi, ndipo utakapomfurahia Mungu mwenye nguvu na kutazama kwa matumaini;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

basi, ndipo utakapomfurahia Mungu mwenye nguvu na kutazama kwa matumaini;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

basi, ndipo utakapomfurahia Mungu mwenye nguvu na kutazama kwa matumaini;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hakika ndipo utakapojifurahisha kwa Mwenyezi, nawe utamwinulia Mungu uso wako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hakika ndipo utakapojifurahisha kwa Mwenyezi, nawe utamwinulia Mungu uso wako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwani ndipo utakapojifurahisha katika Mwenyezi, Na kuinua uso wako kumwelekea Mungu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 22:26
16 Marejeleo ya Msalaba  

Hakika ndipo utakapopata kuinua uso pasipo ila; Naam, utathibitika, wala hutakuwa na hofu;


Na maisha yako yatakuwa meupe kuliko adhuhuri; Giza lake litakuwa kama alfajiri.


Naye Mwenyezi atakuwa hazina yako, Atakuwa ni fedha ya thamani kwako.


Je! Atajifurahisha katika Mwenyezi, Na kumlingana Mungu nyakati zote?


Yeye humwomba Mungu, naye akamtakabalia; Hata auone uso wake kwa furaha; Naye humrejeshea mtu haki yake.


Kwa kuwa amenena, Haimfai mtu lolote Kujifurahisha na Mungu.


Ndipo mimi sitaaibika, Nikiyaangalia maagizo yako yote.


Uniwezeshe kusikia fadhili zako asubuhi, Kwa maana nimekutumaini Wewe. Unifundishe njia nitakayoiendea, Kwa maana ninakuinulia nafsi yangu.


Ee BWANA, nakuinulia nafsi yangu,


Nawe ujifurahishe katika BWANA, Naye atakutimizia haja za moyo wako.


Uifurahishe nafsi ya mtumishi wako, Maana nafsi yangu nakuinulia Wewe, Bwana.


Kama mpera kati ya miti ya msituni, Kadhalika mpendwa wangu kati ya vijana. Niliketi kivulini mwake kwa furaha, Na matunda yake niliyaonja kuwa matamu.


ndipo utakapojifurahisha katika BWANA; nami nitakupandisha mahali pa nchi palipoinuka; nitakulisha urithi wa Yakobo baba yako; kwa maana kinywa cha BWANA kimenena hayo.


Kwa maana naifurahia sheria ya Mungu kwa utu wa ndani,


na lolote tuombalo, tunalipokea kwake, kwa kuwa tunazishika amri zake, na kuyatenda yapendezayo machoni pake.