Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 22:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naye Mwenyezi atakuwa hazina yako, Atakuwa ni fedha ya thamani kwako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mungu Mwenye Nguvu akawa ndio dhahabu yako, na fedha yako ya thamani;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mungu Mwenye Nguvu akawa ndio dhahabu yako, na fedha yako ya thamani;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mungu Mwenye Nguvu akawa ndio dhahabu yako, na fedha yako ya thamani;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ndipo Mwenyezi atakuwa dhahabu yako, naye atakuwa fedha yako iliyo bora.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ndipo Mwenyezi atakuwa dhahabu yako, naye atakuwa fedha yako iliyo bora.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye Mwenyezi atakuwa hazina yako, Atakuwa ni fedha ya thamani kwako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 22:25
13 Marejeleo ya Msalaba  

Baada ya mambo hayo neno la BWANA likamjia Abramu katika njozi, likinena, Usiogope, Abramu, Mimi ni ngao yako, na thawabu yako itakuwa kubwa sana.


Nawe hazina zako ziweke mchangani, Na dhahabu ya Ofiri iweke kati ya mawe ya vijito;


Kwani ndipo utakapojifurahisha katika Mwenyezi, Na kuinua uso wako kumwelekea Mungu.


Au pamoja na wakuu wenye dhahabu, Waliozijaza nyumba zao fedha;


BWANA ni jabali langu, na boma langu, na mwokozi wangu, Mungu wangu, mwamba wangu ninayemkimbilia, Ngao yangu, na pembe ya wokovu wangu, na ngome yangu.


Kwa kuwa BWANA, Mungu, ni jua na ngao, BWANA atatoa neema na utukufu. Hatawanyima kitu chema Hao waendao kwa ukamilifu.


Nyakati zako zitakuwa nyakati za kukaa imara; za wokovu tele na hekima na maarifa; kumcha BWANA ni hazina yake ya akiba.


usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kulia wa haki yangu.


BWANA ndiye fungu langu, husema nafsi yangu, Kwa hiyo nitamtumaini yeye.


Basi, tuseme nini juu ya hayo? Mungu akiwapo upande wetu, ni nani awezaye kutupinga?


kama wenye huzuni, bali siku zote tu wenye furaha; kama maskini, bali tukitajirisha wengi; kama wasio na kitu, bali tu wenye vitu vyote.


Ndugu zangu wapenzi, sikilizeni, Je! Mungu hakuwachagua maskini wa dunia wawe matajiri wa imani na warithi wa ufalme aliowaahidia wampendao?