Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 22:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wenye haki huyaona hayo wakafurahi; Nao wasio na hatia huwacheka;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wanyofu huona na kufurahi, wasio na hatia huwacheka na kuwadharau,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wanyofu huona na kufurahi, wasio na hatia huwacheka na kuwadharau,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wanyofu huona na kufurahi, wasio na hatia huwacheka na kuwadharau,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Wenye haki wanaona maangamizi yao na kufurahi, nao wasio na hatia huwadhihaki, wakisema,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Wenye haki wanaona maangamizi yao na kufurahi, nao wasio na hatia huwadhihaki, wakisema,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wenye haki huyaona hayo wakafurahi; Nao wasio na hatia huwacheka;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 22:19
11 Marejeleo ya Msalaba  

Walekevu watayastaajabia hayo, Na asiye na hatia atajiamsha juu ya mpotovu.


Kama hilo pigo likiua ghafla, Atayadhihaki majaribu yake asiye na kosa.


Wanyofu wa moyo wanaona na kufurahi, Na waovu wote wananyamazishwa.


Na ufurahi mlima Sayuni. Binti za Yuda na washangilie Kwa sababu ya hukumu zako.


Nao wenye haki wataona; Wataingiwa na hofu na kumcheka;


Mwenye haki atafurahi akionapo kisasi; Ataiosha miguu yake katika damu ya wasio haki.


Mwenye haki atamfurahia BWANA na kumkimbilia, Na wote wenye moyo wa adili watasifu.


Sayuni imesikia na kufurahi, Binti za Yuda walishangilia, Kwa sababu ya hukumu zako, Ee BWANA.


Wenye haki wasitawipo, mji hufurahi; Waovu wanapoangamia, watu hushangilia.


Furahini juu yake, enyi mbingu, na enyi watakatifu, mitume na manabii; kwa maana Mungu ametoa hukumu kwa ajili yenu juu yake.