Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 22:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ambao walinyakuliwa kabla ya wakati wao, Msingi wao ulimwagika kama kijito cha maji;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hao walifagiliwa kabla ya wakati wao, misingi yao ilikumbwa mbali na maji.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hao walifagiliwa kabla ya wakati wao, misingi yao ilikumbwa mbali na maji.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hao walifagiliwa kabla ya wakati wao, misingi yao ilikumbwa mbali na maji.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Waliondolewa kabla ya wakati wao, misingi yao ikachukuliwa na mafuriko.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Waliondolewa kabla ya wakati wao, misingi yao ikachukuliwa na mafuriko.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ambao walinyakuliwa kabla ya wakati wao, Msingi wao ulimwagika kama kijito cha maji;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 22:16
19 Marejeleo ya Msalaba  

Katika mwaka wa mia sita wa maisha ya Nuhu, mwezi wa pili, siku ya kumi na saba ya mwezi, siku ile chemchemi zote za vilindi vikuu zilibubujika kwa nguvu, madirisha ya mbinguni yakafunguka.


Maji mengi huyapunguza mawe; Mafuriko yake huuchukua mchanga wa nchi; Nawe matumaini ya wanadamu wayaangamiza.


Jambo hili litatendeka kabla ya wakati wake, Na tawi lake halitasitawi.


Siku zao hutumia katika kufanikiwa, Kisha hushuka kuzimuni ghafla.


Ili wawe kama mabua makavu mbele ya upepo, Kama makapi yaliyochukuliwa na dhoruba?


Mwasema, Yeye ni mwepesi juu ya uso wa gharika; Sehemu yao inalaaniwa duniani; Hageuki kwenda njia ya mizabibuni.


Wao hufa wakingali vijana, Na uhai wao huangamia katikati ya wachafu.


Je! Si zaidi sana hao wakaao katika nyumba za udongo, Ambazo misingi yao i katika mchanga, Hao wanaopondwa kama nondo!


Nitasema, Ee Mungu wangu, usiniondoe katikati ya siku zangu; Miaka yako ni tangu kizazi hata kizazi.


Nawe, Ee Mungu, utawateremsha, Wafikie shimo la uharibifu; Watu wa damu na hila hawataishi nusu ya siku zao, Bali mimi nitakutumaini Wewe.


Wawafutilia wanadamu mbali kama ndoto, wao ni kama majani yameayo asubuhi.


Kumcha BWANA kwaongeza siku za mtu; Bali miaka yao wasio haki itapunguzwa.


Usiwe mwovu kupita kiasi; Wala usiwe mpumbavu; Kwa nini ufe kabla ya wakati wako?


Tazama, Bwana ana mmoja aliye hodari, mwenye nguvu; kama dhoruba ya mvua ya mawe, tufani iharibuyo, kama dhoruba ya maji mengi yafurikayo, ndivyo atakavyotupa chini kwa mkono.


wala hakuuachilia ulimwengu wa kale, bali alimhifadhi Nuhu, mjumbe wa haki, na watu wengine saba, hapo alipoleta Gharika juu ya ulimwengu wa wasiomcha Mungu;