BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu siku zote.
Yobu 22:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Je! Utaifuata njia ya zamani Waliyoikanyaga watu waovu? Matoleo zaidiBiblia Habari Njema “Je, umeamua kufuata njia za zamani ambazo watu waovu wamezifuata? Biblia Habari Njema - BHND “Je, umeamua kufuata njia za zamani ambazo watu waovu wamezifuata? Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza “Je, umeamua kufuata njia za zamani ambazo watu waovu wamezifuata? Neno: Bibilia Takatifu Je, utaifuata njia ya zamani, ambayo watu waovu waliikanyaga? Neno: Maandiko Matakatifu Je, utaifuata njia ya zamani, ambayo watu waovu waliikanyaga? BIBLIA KISWAHILI Je! Utaifuata njia ya zamani Waliyoikanyaga watu waovu? |
BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu siku zote.