Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 22:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Je! Mungu hayuko mbinguni juu? Tena tazama umbali wa nyota, jinsi zilivyo juu!

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Twajua Mungu yuko huko juu mbinguni. Tazama nyota za juu kabisa zilivyo mbali!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Twajua Mungu yuko huko juu mbinguni. Tazama nyota za juu kabisa zilivyo mbali!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Twajua Mungu yuko huko juu mbinguni. Tazama nyota za juu kabisa zilivyo mbali!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Je, Mungu hayuko katika mbingu za juu? Juu kuliko nyota zilizo juu sana!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Je, Mungu hayuko katika mbingu za juu? Juu kuliko nyota zilizo juu sana!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Mungu hayuko mbinguni juu? Tena tazama umbali wa nyota, jinsi zilivyo juu!

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 22:12
10 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Wewe waweza kuuvumbua ukuu wa Mungu? Waweza kuufikia upeo wa huyo Mwenyezi?


Ni juu mno kama mbingu; waweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kuliko kuzimuni; waweza kujua nini wewe?


Ziangalie mbingu ukaone; Na mawingu yaangalie, yaliyo juu kuliko wewe.


Mbingu ni mbingu za BWANA, Bali nchi amewapa wanadamu.


Lakini Mungu wetu yuko mbinguni, Alitakalo lote amelitenda.


Jitunze mguu wako uendapo nyumbani kwa Mungu; Maana ni heri kukaribia ili usikie, Kuliko kutoa kafara ya wapumbavu; Ambao hawajui kuwa wafanya mabaya.


Usiseme maneno ya ujinga kwa kinywa chako, wala moyo wako usiwe na haraka kunena mbele za Mungu; kwa maana, Mungu yuko mbinguni, na wewe upo chini, Kwa hiyo maneno yako na yawe machache.


Maana yeye aliye juu, aliyetukuka, akaaye milele; ambaye jina lake ni Mtakatifu; asema hivi; Nakaa mimi mahali palipoinuka, palipo patakatifu; tena pamoja na yeye aliye na roho iliyotubu na kunyenyekea, ili kuzifufua roho za wanyenyekevu, na kuifufua mioyo yao waliotubu.


BWANA asema hivi, Mbingu ni kiti changu cha enzi, na dunia ni mahali pa kuweka miguu yangu; mtanijengea nyumba ya namna gani? Na mahali pangu pa kupumzikia ni mahali gani?