Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 22:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Au je! Huoni giza, Na maji mengi yanayokufunika?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Giza limekuangukia usione kitu; mafuriko ya maji yamekufunika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Giza limekuangukia usione kitu; mafuriko ya maji yamekufunika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Giza limekuangukia usione kitu; mafuriko ya maji yamekufunika.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ndiyo sababu ni giza sana huwezi kuona, tena ndiyo sababu mafuriko ya maji yamekufunika.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ndiyo sababu ni giza sana huwezi kuona, tena ndiyo sababu mafuriko ya maji yamekufunika.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Au je! Huoni giza, Na maji mengi yanayokufunika?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 22:11
17 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa utasahau mateso yako; Utayakumbuka kama maji yaliyokwisha pita;


Atakimbizwa kutoka mwangani hata gizani, Na kufukuzwa atoke duniani.


Mwanga hemani mwake utakuwa giza, Nayo taa iliyo juu yake itazimwa.


Yeye ameiziba njia yangu nisipate kupita, Na kutia giza katika mapito yangu.


Mwasema, Yeye ni mwepesi juu ya uso wa gharika; Sehemu yao inalaaniwa duniani; Hageuki kwenda njia ya mizabibuni.


Waweza kuiinua sauti yako mpaka mawinguni, ili wingi wa maji ukufunikize?


Wao hupatwa na giza wakati wa mchana, Hupapasa mchana vile vile kama usiku.


Kilindi chapigia kelele kilindi kwa sauti ya maporomoko ya maji yako, Gharika zako zote na mawimbi yako yote yamepita juu yangu.


Njia ya waovu ni kama giza; Hawajui ni kitu gani kiwakwazacho.


nao wataiangalia nchi, na, tazama, shida na giza; hapatakuwa changamko kwa sababu ya dhiki; nao watafukuzwa na kuingia katika giza kubwa.


Ameniongoza na kunipeleka katika giza Wala si katika nuru.


Maji mengi yalipita juu ya kichwa changu, Nikasema, Nimekatiliwa mbali.


Maana ulinitupa vilindini, Ndani ya moyo wa bahari; Gharika ya maji ikanizunguka pande zote; Mawimbi yako yote na gharika zako zote zimepita juu yangu.


bali wana wa ufalme watatupwa katika giza la nje, ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.