Ndipo huyo Elifazi Mtemani akajibu, na kusema,
Kisha Elifazi, Mtemani, akajibu Yobu:
Ndipo Elifazi Mtemani akajibu:
Ndipo Elifazi, Mtemani, akajibu, na kusema,
Basi imekuwaje ninyi kunituliza moyo kwa utupu mtupu, Kwa kuwa katika majibu yenu unasalia uongo tu.
Je! Yumkini mtu awaye yote kumfaa Mungu? Hakika yeye aliye na hekima hujifaa mwenyewe.
Ndipo huyo Elifazi, Mtemani, akajibu na kusema,