Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 21:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mimi, je! Mashitaka yangu yamhusu mwanadamu? Nami kwa nini nisikose kusubiri?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, mimi namlalamikia binadamu? Ya nini basi, nikose uvumilivu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, mimi namlalamikia binadamu? Ya nini basi, nikose uvumilivu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, mimi namlalamikia binadamu? Ya nini basi, nikose uvumilivu?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Je, kwani malalamiko yangu yanaelekezwa kwa mwanadamu? Kwa nini nisikose subira?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Je, kwani malalamiko yangu yanaelekezwa kwa mwanadamu? Kwa nini nisikose subira?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mimi, je! Mashitaka yangu yamhusu mwanadamu? Nami kwa nini nisikose kusubiri?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 21:4
13 Marejeleo ya Msalaba  

Hata ukaulizauliza habari za uovu wangu, Na kuitafuta dhambi yangu,


Nguvu zangu ni zipi, hata ningoje? Na mwisho wangu ni nini, hata nisubiri?


Ee BWANA, usikie kuomba kwangu, Kilio changu kikufikie.


Nafsi yangu, kwa nini kuinama, Na kufadhaika ndani yangu? Umtumaini Mungu; Kwa maana nitakuja kumsifu, Aliye afya ya uso wangu, Na Mungu wangu.


Musa akawaambia wana wa Israeli maneno haya; lakini hawakumsikiliza Musa kwa ajili ya uchungu wa moyo, na kwa ajili ya utumwa mgumu.


Ndipo akawaambia, Roho yangu ina huzuni nyingi kiasi cha kufa; kaeni hapa, mkeshe pamoja nami.


Usimdhanie mjakazi wako kuwa ni mwanamke asiyefaa kitu; kwa kuwa katika wingi wa kuugua kwangu na kusikitika kwangu ndivyo nilivyonena hata sasa.