Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 21:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi imekuwaje ninyi kunituliza moyo kwa utupu mtupu, Kwa kuwa katika majibu yenu unasalia uongo tu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtawezaje basi, kunifariji kwa maneno matupu? majibu yenu hayana chochote ila uongo.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtawezaje basi, kunifariji kwa maneno matupu? majibu yenu hayana chochote ila uongo.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtawezaje basi, kunifariji kwa maneno matupu? majibu yenu hayana chochote ila uongo.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Hivyo ninyi mnawezaje kunifariji kwa upuzi wenu? Hakuna kilichosalia cha majibu yenu isipokuwa uongo!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Hivyo ninyi mnawezaje kunifariji kwa upuzi wenu? Hakuna kilichosalia cha majibu yenu isipokuwa uongo!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi imekuwaje ninyi kunituliza moyo kwa utupu mtupu, Kwa kuwa katika majibu yenu unasalia uongo tu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 21:34
6 Marejeleo ya Msalaba  

Maneno yenu ya hekima ni mithali ya majivu, Ngome zenu ni ngome za udongo.


Lakini ninyi hubuni maneno ya uongo, Ninyi nyote ni matabibu wasiofaa.


Nimesikia maneno mengi mfano wa hayo; Ninyi nyote ni wafariji wenye kutaabisha.


Ndipo huyo Elifazi Mtemani akajibu, na kusema,


Tena hasira zake ziliwaka juu ya hao rafiki zake watatu kwa sababu hawakupata jawabu, lakini wamemhukumia Ayubu makosa.


Basi ikawa, baada ya BWANA kumwambia Ayubu maneno hayo, BWANA akamwambia huyo Elifazi Mtemani, Hasira zangu zinawaka juu yako, na juu ya hao rafiki zako wawili; kwa kuwa ninyi hamkunena yaliyo sawa katika habari zangu, kama alivyonena mtumishi wangu Ayubu.