Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 21:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Niacheni, nami pia nitanena; Tena nikiisha nena, zidini kudhihaki.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nivumilieni, nami nitasema, na nikisha sema endeleeni kunidhihaki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nivumilieni, nami nitasema, na nikisha sema endeleeni kunidhihaki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nivumilieni, nami nitasema, na nikisha sema endeleeni kunidhihaki.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nivumilieni ninapozungumza, nami nikishazungumza, endeleeni kunidhihaki.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nivumilieni ninapozungumza, nami nikishazungumza, endeleeni kunidhihaki.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Niacheni, nami pia nitanena; Tena nikiisha nena, zidini kudhihaki.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 21:3
10 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Majivuno yako yawanyamazishe watu wawe kimya? Nawe hapo ufanyapo dhihaka, je! Hapana mtu atakayekutahayarisha?


Nyamazeni, niacheni, ili nipate kunena, Na hayo yatakayonijia na yaje.


Je! Itafaa yeye kuwatafuta ninyi? Au, kama kumdanganya mtu, je! Mtamdanganya yeye?


Wamenifumbulia vinywa vyao; Wamenipiga shavuni kwa kunitukana; Hukutana pamoja juu yangu.


Rafiki zangu hunidharau; Lakini jicho langu humwagia Mungu machozi;


Ni kweli wako kwangu wenye kufanya dhihaka, Jicho langu hukaa katika kunifanyia uchungu kwao.


Yasikizeni sana maneno yangu; Jambo hili na liwe faraja yenu.


Tazama, ninyi nyote mmeyaona wenyewe; Mbona basi mmebatilika kabisa?