Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 21:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wao hulala mavumbini sawasawa, Mabuu huwafunika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hata hivyo, wote hufa na kuzikwa, wote hufunikwa na mabuu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hata hivyo, wote hufa na kuzikwa, wote hufunikwa na mabuu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hata hivyo, wote hufa na kuzikwa, wote hufunikwa na mabuu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hao wote hulala mavumbini, nao mabuu huwafunika wote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hao wote hulala mavumbini, nao mabuu huwafunika wote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wao hulala mavumbini sawasawa, Mabuu huwafunika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 21:26
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ikiwa nimeuita uharibifu, Wewe u baba yangu; Na kuliambia buu, Wewe u mama yangu, na dada yangu;


Na baada ya ngozi yangu kuharibiwa hivi, Lakini, pasipokuwa na mwili wangu nitamwona Mungu;


Mifupa yake imejaa ujana wake, Lakini utalala nchi naye mavumbini.


Mwingine hufa katika uchungu wa roho, Asionje mema kamwe.


Tazama, nayajua mawazo yenu, Na mipango miovu mnayoazimia kufanya juu yangu.


Tumbo lililomzaa litamsahau; buu litamla na kuona tamu; Hatakumbukwa tena; Na udhalimu utavunjwa kama mti.


Maana hapo ningelala na kutulia; Ningelala usingizi; na kupata kupumzika;


Kama kondoo wamewekwa kwenda kuzimu, Na kifo kitakuwa mchungaji wao; Watu wanyofu watawamiliki asubuhi; Miili yao itaoza, kao lao ni kuzimu.


Mambo yote yawatukia wote sawasawa; kuna tukio moja kwake mwenye haki na kwake asiye haki; kwa mtu mwema na kwa mtu mwovu; kwa mtu aliye safi na kwa mtu asiye safi; kwake yeye atoaye kafara na kwake asiyetoa kafara; kama alivyo huyo mwema ndivyo alivyo mwenye dhambi; yeye aapaye na yeye aogopaye kiapo.


Baa hilo ni katika mambo yote yanayofanyika chini ya jua, ya kuwa wote wanalo tukio moja; naam, zaidi ya hayo, mioyo ya wanadamu imejaa maovu, na wazimu umo mioyoni mwao wakati walipo hai, na baadaye huenda kwa wafu.


Fahari yako imeshushwa hadi kuzimu, Na sauti ya vinanda vyako; Funza wametandazwa chini yako, Na vidudu vinakufunika.