Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 20:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hata hivyo ataangamia milele kama mavi yake mwenyewe; Hao waliomwona watasema, Yuko wapi?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

lakini atatupiliwa mbali kama mavi yake. Waliopata kumjua watajiuliza: ‘Yuko wapi?’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

lakini atatupiliwa mbali kama mavi yake. Waliopata kumjua watajiuliza: ‘Yuko wapi?’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

lakini atatupiliwa mbali kama mavi yake. Waliopata kumjua watajiuliza: ‘Yuko wapi?’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ataangamia milele kama mavi yake mwenyewe. Wale waliomwona watauliza, ‘Yuko wapi?’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ataangamia milele kama mavi yake mwenyewe. Wale waliomwona watauliza, ‘Yuko wapi?’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hata hivyo ataangamia milele kama mavi yake mwenyewe; Hao waliomwona watasema, Yuko wapi?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 20:7
16 Marejeleo ya Msalaba  

tazama, kwa hiyo mimi nitaleta mabaya juu ya nyumba yake Yeroboamu, nami nitakatilia mbali kutoka kwa Yeroboamu kila mwanamume, aliyefungwa na aliyeachwa katika Israeli, nami kuondoa nitawaondoa waliobaki wa nyumba yake Yeroboamu, kama mtu aondoavyo mavi, hata itakapokwisha pia.


Na mzoga wa Yezebeli utakuwa kama mavi juu ya uso wa mashamba, katika kiwanja cha Yezreeli; hata wasipate kusema, Huyu ni Yezebeli.


Lakini mwanadamu hufa, hufariki dunia; Naam, mwanadamu hukata roho, naye yupo wapi?


Mtu akifa, je! Atakuwa hai tena? Mimi ningengoja siku zote za huduma yangu, Hadi kufunguliwa kwangu kunifikie.


Wewe wamshinda nguvu sikuzote, naye hupita aende zake Wabadili sura zake, na kumtuma aende mbali.


Kwa kuwa mwasema, Nyumba ya huyo mkuu i wapi? Na hema waliyoikaa hao waovu iko wapi?


Yeye hujilaza hali ni tajiri, lakini ndio mwisho; Hufunua macho yake, naye hayuko.


Kati ya asubuhi na jioni huvunjwa-vunjwa; Waangamia milele wala hapana atiaye moyoni.


Hatarudi tena nyumbani kwake, Wala mahali pake hapatamjua tena.


Lakini, aking'olewa mahali pake, Ndipo patamkana, na kusema, Mimi sikukuona.


Asiye haki ataona na kusikitika, Atasaga meno yake na kuondoka, Matumaini ya wasio haki hupotea.


Adui zangu wananitaja kwa maneno mabaya, Atakufa lini, jina lake lipotee?


Ambao waliangamizwa Endori; Wakawa samadi juu ya nchi.


Utawatafuta wala hutawaona wale wapiganao nawe; watakuwa si kitu; watakuwa kama kitu kisichokuwa, wale waliofanya vita juu yako.


nao wataitawanya mbele ya jua, na mwezi, na jeshi lote la mbinguni, walivyovipenda, na kuvitumikia, na kuandamana navyo, na kuvitafuta, na kuviabudu haitakusanywa pamoja tena, wala kuzikwa; itakuwa ni samadi juu ya uso wa nchi.


Ujapopanda juu kama tai, Ijapokuwa kiota chako kimewekwa kati ya nyota, Nitakushusha kutoka huko; asema BWANA.