Wakasema, Haya, na tujijengee mji, na mnara, na kilele chake kifike mbinguni, tujifanyie jina; ili tusipate kutawanyika usoni pa nchi yote.
Yobu 20:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Ujapopanda ukuu wake mpaka mbinguni, Na kichwa chake kufikia mawinguni; Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Mwovu aweza kufana hata kufikia mbingu, kichwa chake kikafika kwenye mawingu, Biblia Habari Njema - BHND Mwovu aweza kufana hata kufikia mbingu, kichwa chake kikafika kwenye mawingu, Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Mwovu aweza kufana hata kufikia mbingu, kichwa chake kikafika kwenye mawingu, Neno: Bibilia Takatifu Ingawa kujikweza kwake hufikia mbinguni na kichwa chake hugusa mawingu, Neno: Maandiko Matakatifu Ingawa kujikweza kwake hufikia mbinguni na kichwa chake hugusa mawingu, BIBLIA KISWAHILI Ujapopanda ukuu wake mpaka mbinguni, Na kichwa chake kufikia mawinguni; |
Wakasema, Haya, na tujijengee mji, na mnara, na kilele chake kifike mbinguni, tujifanyie jina; ili tusipate kutawanyika usoni pa nchi yote.
Babeli ujapopanda mbinguni, na ujapopafanya mahali pa juu penye nguvu zake kuwa ngome, hata hivyo toka kwangu wenye kuangamiza watamwendea, asema BWANA.
Mti ule ukakua, ukawa na nguvu, urefu wake ulifika mpaka mbinguni, na kuonekana kwake mpaka mwisho wa dunia.
ni wewe, Ee mfalme, uliyekua, na kupata nguvu; maana ukuu wako umekua na kufika mpaka mbinguni, na mamlaka yako yamefika mpaka mwisho wa dunia.
Wajapochimba waingie katika kuzimu, mkono wangu utawatoa huko; nao wajapopanda hata mbinguni, nitawateremsha toka huko.
Nawe Kapernaumu, je! Utakuzwa mpaka mbinguni? Utashushwa mpaka kuzimu; kwa kuwa kama miujiza iliyofanyika kwako ingalifanyika katika Sodoma, ungalikuwapo mji huo hata leo.