Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 20:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ujapopanda ukuu wake mpaka mbinguni, Na kichwa chake kufikia mawinguni;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwovu aweza kufana hata kufikia mbingu, kichwa chake kikafika kwenye mawingu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwovu aweza kufana hata kufikia mbingu, kichwa chake kikafika kwenye mawingu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwovu aweza kufana hata kufikia mbingu, kichwa chake kikafika kwenye mawingu,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ingawa kujikweza kwake hufikia mbinguni na kichwa chake hugusa mawingu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ingawa kujikweza kwake hufikia mbinguni na kichwa chake hugusa mawingu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ujapopanda ukuu wake mpaka mbinguni, Na kichwa chake kufikia mawinguni;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 20:6
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wakasema, Haya, na tujijengee mji, na mnara, na kilele chake kifike mbinguni, tujifanyie jina; ili tusipate kutawanyika usoni pa nchi yote.


Babeli ujapopanda mbinguni, na ujapopafanya mahali pa juu penye nguvu zake kuwa ngome, hata hivyo toka kwangu wenye kuangamiza watamwendea, asema BWANA.


Mti ule ukakua, ukawa na nguvu, urefu wake ulifika mpaka mbinguni, na kuonekana kwake mpaka mwisho wa dunia.


ni wewe, Ee mfalme, uliyekua, na kupata nguvu; maana ukuu wako umekua na kufika mpaka mbinguni, na mamlaka yako yamefika mpaka mwisho wa dunia.


Wajapochimba waingie katika kuzimu, mkono wangu utawatoa huko; nao wajapopanda hata mbinguni, nitawateremsha toka huko.


Nawe Kapernaumu, je! Utakuzwa mpaka mbinguni? Utashushwa mpaka kuzimu; kwa kuwa kama miujiza iliyofanyika kwako ingalifanyika katika Sodoma, ungalikuwapo mji huo hata leo.