Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 20:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nimesikia maonyo yanayonitahayarisha, Nayo roho ya ufahamu wangu hunijibu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nasikia maonyo nisiyoweza kuvumilia, lakini akili yangu yanisukuma nijibu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nasikia maonyo nisiyoweza kuvumilia, lakini akili yangu yanisukuma nijibu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nasikia maonyo nisiyoweza kuvumilia, lakini akili yangu yanisukuma nijibu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ninasikia makaripio ambayo yananivunjia heshima, nao ufahamu wangu unanisukuma kujibu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ninasikia makaripio ambayo yananivunjia heshima, nao ufahamu wangu unanisukuma kujibu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nimesikia maonyo yanayonitahayarisha, Nayo roho ya ufahamu wangu hunijibu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 20:3
7 Marejeleo ya Msalaba  

Uogopeni upanga; Kwa maana adhabu za upanga zina ghadhabu, Mpate kujua ya kwamba hukumu iko.


Mara kumi hizi mmenishutumu; Hamwoni haya kunifanyia mambo magumu.


Kwa hiyo mawazo yangu hunipa jawabu, Kwa ajili ya haraka niliyo nayo ndani yangu.


Nitawafundisha ninyi mambo ya mkono wa Mungu; Hayo yaliyo kwa Mwenyezi sitayaficha.


Maneno yangu yatatamka uelekevu wa moyo wangu; Na hayo niyajuayo midomo yangu itayanena kwa unyofu.


Kinywa changu kitanena hekima, Na fikira za moyo wangu zitakuwa za busara.