Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 20:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa hiyo mawazo yangu hunipa jawabu, Kwa ajili ya haraka niliyo nayo ndani yangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Fikira zangu zanifanya nikujibu, wala siwezi kujizuia tena.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Fikira zangu zanifanya nikujibu, wala siwezi kujizuia tena.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Fikira zangu zanifanya nikujibu, wala siwezi kujizuia tena.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Mawazo yanayonisumbua yananisukuma kujibu, kwa sababu nimehangaika sana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Mawazo yanayonisumbua yananisukuma kujibu, kwa sababu nimehangaika sana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa hiyo mawazo yangu hunipa jawabu, Kwa ajili ya haraka niliyo nayo ndani yangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 20:2
15 Marejeleo ya Msalaba  

Yuko nani atakayeshindana nami? Maana sasa nitanyamaza kimya na kukata roho.


Ndipo Sofari, Mnaamathi, akajibu, na kusema,


Nimesikia maonyo yanayonitahayarisha, Nayo roho ya ufahamu wangu hunijibu.


Mtu akijaribu kuzungumza nawe, je! Utaona ni vibaya? Lakini ni nani awezaye kujizuia asinene?


Nikiwa katika hangaiko langu nikasema, Wanadamu wote ni waongo.


Nami nilisema kwa pupa yangu, Nimekatiliwa mbali na macho yako; Lakini ulisikia sauti ya kilio changu Wakati nilipokulilia.


Asiye mwepesi wa hasira ana fahamu nyingi; Bali mwenye roho ya hamaki hutukuza upumbavu.


Je! Umemwona mtu mwenye kuhamaki katika maneno? Afadhali kumtumaini mpumbavu kuliko yeye.


Usifanye haraka kukasirika rohoni mwako, Maana hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu.


Nami nikisema, Sitamtaja, wala sitasema tena kwa jina lake; basi, ndipo moyoni mwangu kumekuwamo kama moto uwakao, uliofungwa ndani ya mifupa yangu, nami nimechoka kwa kustahimili, wala siwezi kujizuia.


Mara akaingia kwa haraka mbele ya mfalme, akaomba akisema, Nataka unipe sasa hivi katika kombe kichwa cha Yohana Mbatizaji.


Kwa maana nawashuhudia kwamba wana juhudi kwa ajili ya Mungu, lakini si katika maarifa.


Hayo mnajua, ndugu zangu wapenzi. Basi kila mtu na awe mwepesi wa kusikia, bali si mwepesi wa kusema; wala kukasirika;