Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 20:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ingawa uovu ni mtamu kinywani mwake, Ingawa auficha chini ya ulimi wake;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Mdomoni mwake uovu ni mtamu kama sukari, anauficha chini ya ulimi wake;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Mdomoni mwake uovu ni mtamu kama sukari, anauficha chini ya ulimi wake;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Mdomoni mwake uovu ni mtamu kama sukari, anauficha chini ya ulimi wake;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Ingawa uovu ni mtamu kinywani mwake naye huuficha chini ya ulimi wake,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Ingawa uovu ni mtamu kinywani mwake naye huuficha chini ya ulimi wake,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ingawa uovu ni mtamu kinywani mwake, Ingawa auficha chini ya ulimi wake;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 20:12
10 Marejeleo ya Msalaba  

Mwanamke alipoona ya kuwa ule mti wafaa kwa chakula, wapendeza macho, nao ni mti wa kutamanika kwa maarifa, basi alichuma matunda yake akala, akampa na mumewe, naye akala.


Basi Daudi akamwambia Uria, Ngoja hapa leo tena, na kesho nitakuacha kwenda zako. Basi Uria akakaa Yerusalemu siku ile, na siku ya pili yake.


Sembuse mtu ambaye ni mwenye kuchukiza na uchafu, Mwanadamu anywaye uovu kama anywavyo maji!


Kinywa chake kimejaa laana, Na hila na dhuluma. Chini ya ulimi wake kuna madhara na uovu,


Shahidi asiyefaa kitu hudhihaki hukumu, Na vinywa vya wasio haki humeza uovu.


Chakula cha uongo ni kitamu kwa mtu; Lakini halafu kinywa chake kitajaa changarawe.


Wewe kijana, uufurahie ujana wako, na moyo wako ukuchangamshe siku za ujana wako, ukaziendee njia za moyo wako, na kinachotamaniwa na macho yako, lakini ujue wewe ya kwamba kwa ajili ya hayo yote Mungu atakuleta hukumuni.


Uovu wako mwenyewe utakurudi, maasi yako yatakukaripia; ujue, basi, ukaone, ya kuwa ni jambo baya sana na uchungu, kuwa umemwacha BWANA, Mungu wako, na ya kuwa moyoni mwako hamna kunihofu, asema Bwana, BWANA wa majeshi.