Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 20:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Watoto wake watataka fadhili kwa maskini, Na mikono yake itarudisha mali yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeye mwenyewe itambidi kurudisha mali yake yote, watoto wake wataomba huruma kwa maskini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeye mwenyewe itambidi kurudisha mali yake yote, watoto wake wataomba huruma kwa maskini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeye mwenyewe itambidi kurudisha mali yake yote, watoto wake wataomba huruma kwa maskini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watoto wake watalipa yote baba yao aliyowadhulumu maskini, nayo mikono yake itarudisha mali yote aliyonyang’anya watu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watoto wake watalipa yote baba yao aliyowadhulumu maskini, nayo mikono yake itarudisha mali yote aliyonyang’anya watu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Watoto wake watataka fadhili kwa maskini, Na mikono yake itarudisha mali yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 20:10
15 Marejeleo ya Msalaba  

naye atamrudishia yule mwana-kondoo mara nne, kwa sababu ametenda neno hili, na kwa sababu hakuwa na huruma.


Amemeza mali, naye atayatapika tena; Mungu atayatoa tumboni mwake.


Aliyoyataabikia kazi atayarudisha, asiyameze; Kwa mali aliyoyapata, hatafurahi.


Watoto wake wakiongezeka ni kwa upanga; Na wazao wake hawatashiba chakula.


Simba mzee huangamia kwa kukosa mawindo, Nao watoto wa simba jike wametawanyika mbalimbali.


Watoto wake wako mbali na wokovu, Nao wamesongwa langoni, Wala hapana atakayewaponya.


Kutanga na watange wanawe na kuomba, Watafute chakula mbali na mahame yao.


BWANA akawajalia kupendelewa na Wamisri hata wakawapa kila walichokitaka. Nao wakawateka Wamisri nyara.


Mtu akiiba ng'ombe au kondoo, na kumchinja, au kumwuza; atalipa ng'ombe watano badala ya ng'ombe mmoja, na kondoo wanne badala ya kondoo mmoja.


Lakini kama jua limekucha juu yake, ndipo patakuwa na malipizo ya damu kwa ajili yake; ingempasa kutoa malipo kamili; akiwa hana kitu, na auzwe kwa ajili ya wizi wake.


Kwani ukikataa kuwapa ruhusa waende, na kuzidi kuwazuia,


Mtu mhitaji awaoneaye maskini, Ni kama mvua ya dhoruba isiyosaza chakula.


Lakini akipatikana, atalipa mara saba; Atatoa mali yote ya nyumba yake.


Zakayo akasimama, akamwambia Bwana, Tazama, Bwana, nusu ya mali yangu nawapa maskini, na ikiwa nimenyang'anya mtu kitu kwa hila namrudishia mara nne.