Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 19:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Amenivua utukufu wangu, Na kuiondoa taji kichwani mwangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Amenivua fahari yangu; ameiondoa taji yangu kichwani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Amenivua fahari yangu; ameiondoa taji yangu kichwani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Amenivua fahari yangu; ameiondoa taji yangu kichwani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amenivua heshima yangu, na kuniondolea taji kichwani pangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amenivua heshima yangu, na kuniondolea taji kichwani pangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Amenivua utukufu wangu, Na kuiondoa taji kichwani mwangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 19:9
14 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye huwaondoa washauri wakiwa wamevuliwa nguo, Naye huwafanya waamuzi kuwa ni wapumbavu.


Yeye huwaondoa makuhani wakiwa wamevuliwa nguo. Na kuwapindua mashujaa.


Nimeshona nguo ya magunia juu ya mwili wangu, Na nguvu zangu nimezibwaga mavumbini.


Lakini sasa hao walio wadogo wangu hunifanyia mzaha, Ambao baba zao ningewadharau hata kuwasimamia mbwa wa kundi langu.


Umechukizwa na agano la mtumishi wako, Umelinajisi taji lake na kulitupa chini.


Umeyabomoa maboma yake yote, Umezifanya ngome zake kuwa magofu.


Umeikomesha fahari yake; Kiti chake cha enzi umekitupa chini.


Kwa maana mali haziwi za milele; Na taji je! Ladumu tangu kizazi hata kizazi?


Bali ninyi mtaitwa makuhani wa BWANA; watu watawaiteni wahudumu wa Mungu wetu; mtakula utajiri wa mataifa, na kujisifia utukufu wao.


Taji ya kichwa chetu imeanguka; Ole wetu! Kwa kuwa tumetenda dhambi.


Naye Efraimu, utukufu wake utarukia mbali kama ndege, uzazi hautakuwako, wala aliye na mimba, wala achukuaye mimba.