Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 19:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Tazama, nalia, Udhalimu, lakini sisikiwi; Naulilia msaada, wala hapana hukumu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tazama napiga yowe: ‘Dhuluma!’ Lakini sijibiwi. Naita kwa sauti kubwa, lakini sipati haki yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tazama napiga yowe: ‘Dhuluma!’ Lakini sijibiwi. Naita kwa sauti kubwa, lakini sipati haki yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tazama napiga yowe: ‘Dhuluma!’ lakini sijibiwi. Naita kwa sauti kubwa, lakini sipati haki yangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Ingawa ninalia, ‘Nimetendewa mabaya!’ sipati jibu; ingawa ninaomba msaada, hakuna haki.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Ingawa ninalia, ‘Nimetendewa mabaya!’ sipati jibu; ingawa ninaomba msaada, hakuna haki.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tazama, nalia, Udhalimu, lakini sisikiwi; Naulilia msaada, wala hapana hukumu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 19:7
20 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Ni vema kwako wewe kuonea, Na kuidharau kazi ya mikono yako, Na kuiunga mkono mipango ya waovu?


Laiti angemtolea mtu hoja mbele ya Mungu, Amtetee na mwanadamu mbele ya jirani yake.


Tazama, nayajua mawazo yenu, Na mipango miovu mnayoazimia kufanya juu yangu.


Nakulilia wewe, wala huniitikii; Nasimama, nawe wanitazama tu.


Je! Mtu katika kuanguka kwake hanyoshi mkono? Na kulilia msaada katika msiba wake?


Naenda nikiomboleza pasipo jua; Nasimama katika mkutano, na kuulilia msaada.


Kwani Ayubu amesema, Mimi ni mwenye haki, Naye Mungu ameniondolea haki yangu;


Je! Hata hukumu yangu utaibatilisha? Utanitia mimi hatiani, upate kuhesabiwa haki?


Dunia imetiwa mkononi mwa waovu; Yeye hufunika nyuso za waamuzi wake; Kama si yeye, ni nani basi?


Maana yeye si mtu, kama mimi, hata nimjibu, Hata tuwe mahakamani pamoja.


Ee Mungu wangu, nalia mchana lakini hujibu Na wakati wa usiku lakini sipati raha.


Lakini Wewe U Mtakatifu, Utukuzwaye na sifa za Israeli.


Maana kila ninenapo napiga kelele, nalia, Dhuluma na uharibifu! Kwa kuwa neno la BWANA limefanywa shutumu kwangu, na dhihaka, mchana kutwa.


Naam, nikilia na kuomba msaada, Huyapinga maombi yangu.