Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 19:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mara kumi hizi mmenishutumu; Hamwoni haya kunifanyia mambo magumu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mara hizi zote kumi mmenishutumu. Je, hamwoni aibu kunitendea vibaya?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mara hizi zote kumi mmenishutumu. Je, hamwoni aibu kunitendea vibaya?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mara hizi zote kumi mmenishutumu. Je, hamwoni aibu kunitendea vibaya?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mara kumi hizi mmenishutumu; bila aibu mnanishambulia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mara kumi hizi mmenishutumu; bila aibu mnanishambulia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mara kumi hizi mmenishutumu; Hamwoni haya kunifanyia mambo magumu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 19:3
19 Marejeleo ya Msalaba  

Na baba yenu amenidanganya, akabadili mshahara wangu mara kumi; lakini Mungu hakumwachia anidhuru.


Yusufu akawaona nduguze, akawatambua, lakini alijifanya kama mgeni kwao. Akasema nao kwa maneno makali, akawaambia, Mmetoka wapi ninyi? Wakasema. Tumetoka nchi ya Kanaani, ili tununue chakula.


Kisha Wayahudi waliokaa karibu nao, walikuja, wakatuambia mara kumi: Watakuja kutoka kila sehemu wanapokaa kutushambulia.


Ikiwa una uovu mkononi mwako, uweke mbali nawe, Wala usikubali upuzi kukaa hemani mwako;


Je! Majivuno yako yawanyamazishe watu wawe kimya? Nawe hapo ufanyapo dhihaka, je! Hapana mtu atakayekutahayarisha?


Pumzi zangu zimekuwa kinyaa kwa mke wangu, Nami ni machukizo kwa ndugu zangu.


Je! Mtanichukiza nafsi yangu hata lini, Na kunivunjavunja kwa maneno?


Ingawaje nimekosa, Kosa langu hukaa kwangu mwenyewe.


Nimesikia maonyo yanayonitahayarisha, Nayo roho ya ufahamu wangu hunijibu.


Nimekuwa mgeni kwa ndugu zangu, Na asiyetambuliwa na wana wa mama yangu.


Na katika kila jambo la hekima na ufahamu alilowauliza mfalme, akawaona kuwa walifaa mara kumi zaidi ya waganga na wachawi waliokuwa katika ufalme wake.


Hapo nitakapovunja tegemeo lenu la mkate, wanawake kumi wataoka mikate yenu katika tanuri moja, nao watawapa mikate yenu tena kwa kupima kwa mizani; nanyi mtakula, lakini hamtashiba.


kwa sababu watu hawa wote, ambao wameuona utukufu wangu na ishara zangu, nilizozitenda huko Misri, na huko jangwani, pamoja na haya wamenijaribu mara hizi kumi, wala hawakuisikiza sauti yangu;