Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 19:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Uogopeni upanga; Kwa maana adhabu za upanga zina ghadhabu, Mpate kujua ya kwamba hukumu iko.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tutapataje kwake kisa cha kumshtaki?’ Lakini tahadharini na adhabu. Chuki yenu yaweza kuwaletea kifo! Mnapaswa kujua: Mungu peke yake ndiye hakimu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tutapataje kwake kisa cha kumshtaki?’ Lakini tahadharini na adhabu. Chuki yenu yaweza kuwaletea kifo! Mnapaswa kujua: Mungu peke yake ndiye hakimu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tutapataje kwake kisa cha kumshtaki?’ Lakini tahadharini na adhabu. Chuki yenu yaweza kuwaletea kifo! Mnapaswa kujua: Mungu peke yake ndiye hakimu.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ninyi wenyewe uogopeni upanga, kwa kuwa ghadhabu italeta adhabu kwa upanga, nanyi ndipo mtajua kuwa kuna hukumu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ninyi wenyewe uogopeni upanga, kwa kuwa ghadhabu italeta adhabu kwa upanga, nanyi ndipo mtakapojua kwamba kuna hukumu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Uogopeni upanga; Kwa maana adhabu za upanga zina ghadhabu, Mpate kujua ya kwamba hukumu iko.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 19:29
12 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye hasadiki kwamba atarudi kutoka gizani, Naye hungojewa na upanga;


Ndipo Sofari, Mnaamathi, akajibu, na kusema,


Je! Ni kwa wewe kumcha yeye anakukemea? Na kuingia hukumuni nawe?


Kwa hiyo wasio haki hawatasimama hukumuni, Wala wakosaji katika kusanyiko la wenye haki.


Bali BWANA atakaa milele, Ameweka kiti chake tayari kwa hukumu.


Wewe kijana, uufurahie ujana wako, na moyo wako ukuchangamshe siku za ujana wako, ukaziendee njia za moyo wako, na kinachotamaniwa na macho yako, lakini ujue wewe ya kwamba kwa ajili ya hayo yote Mungu atakuleta hukumuni.


Kwa maana Mungu ataleta hukumuni kila kazi, pamoja na kila neno la siri, likiwa jema au likiwa baya.