Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 19:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kama mkisema, Jinsi tutakavyomwudhi! Kwa kuwa shina la jambo hili limeonekana kwake;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Nyinyi mwaweza kujisemea: ‘Tutamfuatia namna gani?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Nyinyi mwaweza kujisemea: ‘Tutamfuatia namna gani?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Nyinyi mwaweza kujisemea: ‘Tutamfuatia namna gani?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Mkisema, ‘Tazama tutakavyomwinda, maadamu mzizi wa tatizo uko ndani yake,’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Kama mkisema, ‘Tazama tutakavyomwinda, maadamu mzizi wa tatizo uko ndani yake,’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama mkisema, Jinsi tutakavyomwudhi! Kwa kuwa shina la jambo hili limeonekana kwake;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 19:28
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na Israeli wote watamlilia, na kumzika, kwa maana ndiye peke yake wa Yeroboamu atakayeingia kaburini; kwa sababu limeonekana ndani yake jambo lililo jema kwa BWANA, Mungu wa Israeli, nyumbani mwa Yeroboamu.


Mbona ninyi mnaniudhi kama Mungu, Wala hamkutosheka na nyama yangu?


Uogopeni upanga; Kwa maana adhabu za upanga zina ghadhabu, Mpate kujua ya kwamba hukumu iko.


Maana wanamwudhi mtu uliyempiga Wewe, Wanazidisha maumivu ya hao uliowatia jeraha.