Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 19:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mfupa wangu unagandamana na ngozi yangu na nyama yangu, Nami nimeokoka na ngozi ya meno yangu tu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwili wangu umebakia tu mifupa na ngozi, nimeponea chupuchupu baada ya kupoteza yote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwili wangu umebakia tu mifupa na ngozi, nimeponea chupuchupu baada ya kupoteza yote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwili wangu umebakia tu mifupa na ngozi, nimeponea chupuchupu baada ya kupoteza yote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mimi nimebaki mifupa na ngozi tu; nimeponea nikiwa karibu kufa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mimi nimebaki mifupa na ngozi tu; nimeponea nikiwa karibu kufa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mfupa wangu unagandamana na ngozi yangu na nyama yangu, Nami nimeokoka na ngozi ya meno yangu tu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 19:20
15 Marejeleo ya Msalaba  

Umenishika sana, na kuwa ushahidi juu yangu; Na kukonda kwangu kwaniinukia, kwanishuhudia usoni pangu.


Ngozi yangu ni nyeusi, nayo yanitoka, Na mifupa yangu imeteketea kwa joto.


Mwili wangu unavikwa mabuu na madongoa ya udongo; Ngozi yangu hufumba, kisha ikatumbuka tena.


Maana siku zangu zinatoweka kama moshi, Na mifupa yangu inateketea kama kinga.


Kwa ajili ya kilio cha kuugua kwangu Mifupa yangu imegandamana na nyama yangu.


Nimekuwa kama ndege wa jangwani, Na kufanana na bundi katika mahame.


Hamna uzima katika mwili wangu Kwa sababu ya ghadhabu yako. Wala hamna amani mifupani mwangu Kwa sababu ya hatia zangu.


Amechakaza ngozi yangu na nyama yangu; Ameivunja mifupa yangu.


Nyuso zao ni nyeusi kuliko makaa; Hawajulikani katika njia kuu; Ngozi yao yagandamana na mifupa yao Imekauka, imekuwa kama mti.


Ngozi yetu ni nyeusi kama tanuri; Kwa sababu ya joto ya njaa ituteketezayo.


Hata mavumbi ya mji wenu yaliyogandamana na miguu yetu tunayakung'uta juu yenu. Lakini jueni hili, ya kuwa Ufalme wa Mungu umekaribia.