Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 19:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Marafiki zangu wote wa dhati wanichukia; Na hao niliowapenda wamenigeukia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Rafiki zangu wakuu wanachukizwa nami, wale niliokuwa nikiwapenda wamenipa kisogo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Rafiki zangu wakuu wanachukizwa nami, wale niliokuwa nikiwapenda wamenipa kisogo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Rafiki zangu wakuu wanachukizwa nami, wale niliokuwa nikiwapenda wamenipa kisogo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Rafiki zangu wa moyoni wote wananichukia kabisa; wale ninaowapenda wamekuwa kinyume nami.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Rafiki zangu wa moyoni wote wananichukia kabisa; wale niwapendao wamekuwa kinyume nami.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Marafiki zangu wote wa dhati wanichukia; Na hao niliowapenda wamenigeukia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 19:19
12 Marejeleo ya Msalaba  

Watu wa ukoo wangu wamekoma, Na marafiki zangu niwapendao wamenisahau.


Hata watoto wadogo hunidharau; Nikiondoka, huninena.


Kwani sasa ninyi mmekuwa hivyo; Mnaona maafa yangu, na kuogopa.


Wanipendao na rafiki zangu wanasimama mbali na pigo langu; Na jamaa zangu wanasimama mbali.


Lakini Wewe, BWANA, unifadhili, Uniinue nipate kuwalipa.


Hata rafiki yangu mwandani niliyemtumaini, Aliyekula pamoja nami, Ameniinulia kisigino chake.


Mwenzangu amenyosha mkono awadhuru waliopatana naye, Amelivunja agano lake.


Wanijuao umewatenga nami; Umenifanya kuwa chukizo kwao; Nimefungwa wala siwezi kutoka.


Yesu akamwambia, Yuda, wamsaliti Mwana wa Adamu kwa kumbusu?