Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 19:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hata watoto wadogo hunidharau; Nikiondoka, huninena.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hata watoto wadogo hunidharau, mara ninapojitokeza wao hunizomea.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hata watoto wadogo hunidharau, mara ninapojitokeza wao hunizomea.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hata watoto wadogo hunidharau, mara ninapojitokeza wao hunizomea.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hata watoto wadogo hunidhihaki; ninapojitokeza, hunifanyia mzaha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hata watoto wadogo hunidhihaki; ninapojitokeza, hunifanyia mzaha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hata watoto wadogo hunidharau; Nikiondoka, huninena.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 19:18
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akakwea kutoka huko mpaka Betheli; naye alipokuwa akienda njiani, wakatoka vijana katika mji, wakamfanyizia mzaha, wakamwambia, Paa wewe mwenye upaa! Paa wewe mwenye upaa!


Pumzi zangu zimekuwa kinyaa kwa mke wangu, Nami ni machukizo kwa ndugu zangu.


Marafiki zangu wote wa dhati wanichukia; Na hao niliowapenda wamenigeukia.


Lakini sasa hao walio wadogo wangu hunifanyia mzaha, Ambao baba zao ningewadharau hata kuwasimamia mbwa wa kundi langu.


Kwa mkono wangu wa kulia huinuka kundi; Huisukuma miguu yangu kando, Na kunipandishia njia zao za uharibifu.


Umekaa na kumsengenya ndugu yako, Na mwana wa mama yako umemsingizia.


Nao watu wataonewa, kila mtu na mwenziwe, na kila mtu na jirani yake; mtoto atajivuna mbele ya mzee, na mtu mnyonge mbele ya mtu mwenye heshima.