Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 19:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Namwita mtumishi wangu, wala haniitikii, Ingawa namsihi kwa kinywa changu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Namwita mtumishi wangu lakini haitikii, ninalazimika kumsihi sana kwa maneno.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Namwita mtumishi wangu lakini haitikii, ninalazimika kumsihi sana kwa maneno.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Namwita mtumishi wangu lakini haitikii, ninalazimika kumsihi sana kwa maneno.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Namwita mtumishi wangu, wala haitiki, ingawa namwomba kwa kinywa changu mwenyewe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Namwita mtumishi wangu, wala haitiki, ingawa namwomba kwa kinywa changu mwenyewe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Namwita mtumishi wangu, wala haniitikii, Ingawa namsihi kwa kinywa changu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 19:16
4 Marejeleo ya Msalaba  

mara, tazama, upepo wenye nguvu ukatoka pande za jangwani, ukaipiga hiyo nyumba pembe zake nne, nayo ikawaangukia hao vijana, nao wamekufa; na mimi peke yangu nimepona, mimi tu, kukuletea habari.


Wakaao nyumbani mwangu, na vijakazi vyangu, wanihesabu kuwa mgeni; Wageni nyumbani mwangu, na vijakazi wangu, wanihesabu kuwa mgeni.


Pumzi zangu zimekuwa kinyaa kwa mke wangu, Nami ni machukizo kwa ndugu zangu.