Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 19:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Tena ameziwasha ghadhabu zake juu yangu, Akanihesabia kuwa mmoja katika watesi wake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ameichochea ghadhabu yake dhidi yangu; ameniona kuwa kama adui yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ameichochea ghadhabu yake dhidi yangu; ameniona kuwa kama adui yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ameichochea ghadhabu yake dhidi yangu; ameniona kuwa kama adui yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hasira yake imewaka juu yangu; amenihesabu kuwa miongoni mwa adui zake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hasira yake imewaka juu yangu; amenihesabu kuwa miongoni mwa adui zake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena ameziwasha ghadhabu zake juu yangu, Akanihesabia kuwa mmoja katika watesi wake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 19:11
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mbona umeuficha uso wako, Na kunihesabu kuwa ni adui yako?


Mateso na dhiki humtia hofu; Humshinda kama vile mfalme aliye tayari kwa vita;


Amenirarua katika ghadhabu zake, na kunionea; Amesagasaga meno juu yangu; Mtesi wangu hunikazia macho makali.


Tazama, yuaona sababu za kufarakana nami, Hunihesabu kuwa ni adui yake;


Hadi lini, Ee BWANA? Utajificha hata milele? Ghadhabu yako itawaka kama moto hadi lini?


Maana tumeangamia kwa hasira yako, Na kwa ghadhabu yako tumezidiwa.


Ameupinda upinde wake kama adui, Amesimama na mkono wake wa kulia kama mtesi; Naye amewaua hao wote Waliopendeza macho; Katika hema ya binti Sayuni Amemimina ghadhabu yake kama moto.


Bwana amekuwa mfano wa adui, Amemmeza Israeli; Ameyameza majumba yake yote, Ameziharibu ngome zake; Tena amemzidishia binti Yuda Matanga na maombolezo.


Maana, moto umewashwa kwa hasira yangu, Unateketea hata chini ya kuzimu, Unakula dunia pamoja na mazao yake, Unaunguza misingi ya milima.