Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 18:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Tanzi litamshika kisigino chake, Na mtego utamshika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtego humkamata kisiginoni, tanzi humbana kabisa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtego humkamata kisiginoni, tanzi humbana kabisa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtego humkamata kisiginoni, tanzi humbana kabisa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tanzi litamkamata kwenye kisigino; mtego utamshikilia kwa nguvu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tanzi litamkamata kwenye kisigino; mtego utamshikilia kwa nguvu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tanzi litamshika kisigino chake, Na mtego utamshika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 18:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

mara Waseba wakawashambulia, wakawachukua wakaenda nao; naam, wamewaua hao watumishi kwa makali ya upanga, mimi peke yangu nimepona, mimi tu, kukuletea habari.


Huyo alipokuwa akali akinena, akatokea na mwingine, na kusema, Wakaldayo walifanya vikosi vitatu, wakawaangukia ngamia, wakaenda nao, naam, wamewaua wale watumishi kwa makali ya upanga; mimi peke yangu nimepona, mimi tu, kukuletea habari.


Amefichiwa tanzi chini, Na mtego amewekewa njiani.


Kwani ametupwa katika wavu na miguu yake mwenyewe, Naye huenda juu ya matanzi.


Mavuno yake wale wenye njaa huyala, Na kuyatwaa hata kuyatoa miibani, Nao wenye kiu huzitwetea mali zao.


Wenye kiburi wamenifichia mtego na kamba; Wametandika wavu kando ya njia; Wameniwekea matanzi.


BWANA amejidhihirisha na kutekeleza hukumu; Amemnasa mdhalimu kwa kazi ya mikono yake.


Kuna mtego katika kosa la mtu mbaya; Bali mwenye haki huimba na kufurahi.