Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 18:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Twahesabiwa kuwa wanyama kwa sababu gani, Tena kuwa wanajisi machoni pako?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa nini unatufanya kama ng'ombe? Mbona unatuona sisi kuwa wapumbavu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa nini unatufanya kama ng'ombe? Mbona unatuona sisi kuwa wapumbavu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa nini unatufanya kama ng'ombe? Mbona unatuona sisi kuwa wapumbavu?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa nini sisi tunafikiriwa kama wanyama, na kuonekana wajinga machoni pako?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa nini sisi tunafikiriwa kama wanyama, na kuonekana wajinga machoni pako?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Twahesabiwa kuwa wanyama kwa sababu gani, Tena kuwa wanajisi machoni pako?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 18:3
9 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini rudini; ninyi nyote, njoni sasa; Wala sitampata mtu mwenye hekima kati yenu.


Kwa kuwa umezifumba akili zao ufahamu; Kwa hiyo hutawaacha wanishinde.


Je! Hata lini utayawinda maneno kwa mitego? Fikiri, kisha baadaye tutanena.


Wewe ujiraruaye mwenyewe katika hasira yako, Je! Dunia itaachwa kwa ajili yako wewe? Au jabali litaondolewa mahali pake?


Nilikuwa kama mjinga, sijui neno; Nilikuwa kama mnyama tu mbele zako.


Nikasema moyoni mwangu, Ni kwa sababu ya wanadamu, ili Mungu awajaribu, nao waone ya kuwa wao wenyewe wafanana na wanyama.


Kwa pendo la udugu, mpendane ninyi kwa ninyi; kwa heshima mkiwatanguliza wenzenu;


Aweza kumpiga fimbo arubaini asizidishe asije akaonekana nduguyo kuwa amedharauliwa kwako, azidishapo kwa kumpiga fimbo nyingi juu ya hizi.