Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 18:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Je! Hata lini utayawinda maneno kwa mitego? Fikiri, kisha baadaye tutanena.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Utawinda maneno ya kusema hadi lini? Tafakari vizuri nasi tutasema.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Utawinda maneno ya kusema hadi lini? Tafakari vizuri nasi tutasema.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Utawinda maneno ya kusema hadi lini? Tafakari vizuri nasi tutasema.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Je, ni lini utafika mwisho wa maneno haya? Uwe mwenye busara, nasi ndipo tutakapoweza kuongea.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Je, ni lini utafika mwisho wa maneno haya? Uwe mwenye busara, nasi ndipo tutakapoweza kuongea.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Hata lini utayawinda maneno kwa mitego? Fikiri, kisha baadaye tutanena.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 18:2
12 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Huu wingi wa maneno usijibiwe? Na mtu aliyejaa maneno, je! Ahesabiwe kuwa na haki?


Ndipo Bildadi, Mshuhi, akajibu, na kusema,


Twahesabiwa kuwa wanyama kwa sababu gani, Tena kuwa wanajisi machoni pako?


Yasikizeni sana maneno yangu; Jambo hili na liwe faraja yenu.


Huko waovu huacha kusumbua; Huko nako hao waliochoka wanapumzika.


Lakini, Ayubu, nakuomba usikilize hoja yangu, Ukayasikilize maneno yangu yote.


Wewe utanena maneno haya hadi lini? Maneno ya kinywa chako yatakuwa kama upepo mkuu hadi lini?


Yeye ajibuye kabla hajasikia, Ni upumbavu na aibu kwake.


Hayo mnajua, ndugu zangu wapenzi. Basi kila mtu na awe mwepesi wa kusikia, bali si mwepesi wa kusema; wala kukasirika;