Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 18:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Utakula via vya mwili wake, Naam, mzaliwa wa kwanza wa mauti atavila via vyake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Ugonjwa mbaya unakula ngozi yake, maradhi ya kifo hula viungo vyake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Ugonjwa mbaya unakula ngozi yake, maradhi ya kifo hula viungo vyake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Ugonjwa mbaya unakula ngozi yake, maradhi ya kifo hula viungo vyake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nayo yatakula sehemu ya ngozi yake; mzaliwa wa kwanza wa mauti atakula maungo yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nayo yatakula sehemu ya ngozi yake; mzaliwa wa kwanza wa mauti atakula maungo yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Utakula via vya mwili wake, Naam, mzaliwa wa kwanza wa mauti atavila via vyake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 18:13
7 Marejeleo ya Msalaba  

Hakutufanya kama wageni, maana ametuuza, naye amekula fedha zetu kabisa?


Reubeni, u mzaliwa wangu wa kwanza, Nguvu zangu, na malimbuko ya uwezo wangu. Umewapita wengine kwa ukuu na kwa nguvu.


Litashuka kwenye makomeo ya kuzimu, Itakapokuwapo raha mavumbini.


Nao walio maskini kabisa watakula, Na wahitaji watajilaza salama; Nami nitatia shina lako kwa njaa, Na mabaki yako watauawa.


Nilishuka hata pande za chini za milima; Hiyo nchi ambayo mapingo yake yanafunga hata milele; Lakini umeipandisha nafsi yangu kutoka humo shimoni, Ee BWANA, Mungu wangu,


Na hii ndiyo tauni, ambayo BWANA atawapiga watu wote waliofanya vita juu ya Yerusalemu; nyama ya mwili wao itaharibika, wakiwa wamesimama kwa miguu yao, na macho yao yataharibika ndani ya vichwa vyao, na ndimi zao zitaharibika vinywani mwao.


Nikaona, na tazama, farasi wa rangi ya kijivujivu, na yeye aliyempanda jina lake ni Mauti, na Kuzimu akafuatana naye. Nao wakapewa mamlaka juu ya robo ya nchi, waue kwa upanga na kwa njaa na kwa tauni na kwa wanyama wa nchi.