Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 18:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Amefichiwa tanzi chini, Na mtego amewekewa njiani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Amefichiwa kitanzi ardhini; ametegewa mtego njiani mwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Amefichiwa kitanzi ardhini; ametegewa mtego njiani mwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Amefichiwa kitanzi ardhini; ametegewa mtego njiani mwake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kitanzi kimefichwa ardhini kwa ajili yake; mtego uko kwenye njia yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kitanzi kimefichwa ardhini kwa ajili yake; mtego uko kwenye njia yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Amefichiwa tanzi chini, Na mtego amewekewa njiani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 18:10
5 Marejeleo ya Msalaba  

Vitisho vitamtia hofu kutoka kila upande, Na kumfukuza karibu na visigino vyake.


Tanzi litamshika kisigino chake, Na mtego utamshika.


Awanyeshee wasio haki mitego, Moto na kiberiti na upepo wa joto Na viwe fungu la kikombe chao.


Tena wavu wangu nitautandika juu yake, naye atanaswa kwa mtego wangu; nami nitampeleka Babeli, mpaka nchi ya Wakaldayo; lakini hataiona, ingawa atakufa huko.


Na Daudi asema, Meza yao na iwe tanzi na mtego, Na kitu cha kuwakwaza, na malipo kwao;