Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 18:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ndipo Bildadi, Mshuhi, akajibu, na kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha Bildadi, Mshuhi, akajibu:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha Bildadi, Mshuhi, akajibu:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha Bildadi, Mshuhi, akajibu:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Bildadi Mshuhi akajibu:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Bildadi Mshuhi akajibu:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo Bildadi, Mshuhi, akajibu, na kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 18:1
6 Marejeleo ya Msalaba  

Litashuka kwenye makomeo ya kuzimu, Itakapokuwapo raha mavumbini.


Je! Hata lini utayawinda maneno kwa mitego? Fikiri, kisha baadaye tutanena.


Basi ikawa hao marafiki watatu wa Ayubu walipopata habari ya mabaya hayo yote yaliyomfikia, wakaja kila mtu kutoka mahali pake; nao ni Elifazi Mtemani, na Bildadi Mshuhi, na Sofari Mnaamathi; wakapatana pamoja ili waende kumfariji Ayubu na kumtuliza moyo.


Ndipo Bildadi, Mshuhi, akajibu, na kusema,


Ndipo Bildadi huyo Mshuhi akajibu, na kusema,