Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 17:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ikiwa nimeuita uharibifu, Wewe u baba yangu; Na kuliambia buu, Wewe u mama yangu, na dada yangu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

kama naliita kaburi ‘baba yangu’ na buu, ‘mama yangu’ au ‘dada yangu’,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

kama naliita kaburi ‘baba yangu’ na buu, ‘mama yangu’ au ‘dada yangu’,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

kama naliita kaburi ‘baba yangu’ na buu, ‘mama yangu’ au ‘dada yangu’,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

nikiuambia uharibifu, ‘Wewe u baba yangu,’ na kuliambia buu, ‘Wewe u mama yangu’ au ‘Dada yangu,’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kama nikiuambia uharibifu, ‘Wewe u baba yangu,’ na kuliambia buu, ‘Wewe u mama yangu’ au ‘Dada yangu,’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikiwa nimeuita uharibifu, Wewe u baba yangu; Na kuliambia buu, Wewe u mama yangu, na dada yangu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 17:14
15 Marejeleo ya Msalaba  

Nijapokuwa ni kama kitu kilichooza, kinachosinyaa, Mfano wa nguo iliyoliwa na nondo.


Na baada ya ngozi yangu kuharibiwa hivi, Lakini, pasipokuwa na mwili wangu nitamwona Mungu;


Wao hulala mavumbini sawasawa, Mabuu huwafunika.


Tumbo lililomzaa litamsahau; buu litamla na kuona tamu; Hatakumbukwa tena; Na udhalimu utavunjwa kama mti.


Seuze mtu, aliye mdudu! Na mwanadamu, ambaye ni buu!


Ngozi yangu ni nyeusi, nayo yanitoka, Na mifupa yangu imeteketea kwa joto.


Mwili wangu unavikwa mabuu na madongoa ya udongo; Ngozi yangu hufumba, kisha ikatumbuka tena.


Maana hutaitupa kuzimu nafsi yangu, Wala hutamtoa mtakatifu wako aone uharibifu.


ndipo aishi milele asilione kaburi.


Fahari yako imeshushwa hadi kuzimu, Na sauti ya vinanda vyako; Funza wametandazwa chini yako, Na vidudu vinakufunika.


Hivyo ndivyo ilivyo kwa kiyama ya wafu. Hupandwa katika uharibifu; hufufuliwa katika kutoharibika;