Yobu 17:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Ikiwa nimeuita uharibifu, Wewe u baba yangu; Na kuliambia buu, Wewe u mama yangu, na dada yangu; Matoleo zaidiBiblia Habari Njema kama naliita kaburi ‘baba yangu’ na buu, ‘mama yangu’ au ‘dada yangu’, Biblia Habari Njema - BHND kama naliita kaburi ‘baba yangu’ na buu, ‘mama yangu’ au ‘dada yangu’, Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza kama naliita kaburi ‘baba yangu’ na buu, ‘mama yangu’ au ‘dada yangu’, Neno: Bibilia Takatifu nikiuambia uharibifu, ‘Wewe u baba yangu,’ na kuliambia buu, ‘Wewe u mama yangu’ au ‘Dada yangu,’ Neno: Maandiko Matakatifu kama nikiuambia uharibifu, ‘Wewe u baba yangu,’ na kuliambia buu, ‘Wewe u mama yangu’ au ‘Dada yangu,’ BIBLIA KISWAHILI Ikiwa nimeuita uharibifu, Wewe u baba yangu; Na kuliambia buu, Wewe u mama yangu, na dada yangu; |
Na baada ya ngozi yangu kuharibiwa hivi, Lakini, pasipokuwa na mwili wangu nitamwona Mungu;
Tumbo lililomzaa litamsahau; buu litamla na kuona tamu; Hatakumbukwa tena; Na udhalimu utavunjwa kama mti.
Mwili wangu unavikwa mabuu na madongoa ya udongo; Ngozi yangu hufumba, kisha ikatumbuka tena.
Fahari yako imeshushwa hadi kuzimu, Na sauti ya vinanda vyako; Funza wametandazwa chini yako, Na vidudu vinakufunika.
Hivyo ndivyo ilivyo kwa kiyama ya wafu. Hupandwa katika uharibifu; hufufuliwa katika kutoharibika;