Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 17:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini rudini; ninyi nyote, njoni sasa; Wala sitampata mtu mwenye hekima kati yenu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini nyinyi njoni, njoni nyote tena, kwenu sitampata mwenye hekima hata mmoja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini nyinyi njoni, njoni nyote tena, kwenu sitampata mwenye hekima hata mmoja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini nyinyi njoni, njoni nyote tena, kwenu sitampata mwenye hekima hata mmoja.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Lakini ninyi njooni, ninyi nyote, jaribuni tena! Sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Lakini ninyi njooni, ninyi nyote, jaribuni tena! Sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini rudini; ninyi nyote, njoni sasa; Wala sitampata mtu mwenye hekima kati yenu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 17:10
11 Marejeleo ya Msalaba  

Hapana shaka ninyi ndinyi watu halisi, Nanyi mtakapokufa, ndipo na hekima itakoma.


Je! Wewe wajua neno lipi, ambalo sisi hatulijui? Nawe wafahamu nini, ambalo halimo ndani yetu?


Siku zangu zimepita, makusudi yangu yamevunjika, Hata hayo niliyo nayo moyoni mwangu.


Kwa kuwa umezifumba akili zao ufahamu; Kwa hiyo hutawaacha wanishinde.


Twahesabiwa kuwa wanyama kwa sababu gani, Tena kuwa wanajisi machoni pako?


Sio wakuu walio wenye hekima, Wala sio wazee watambuao haki.


Basi ikawa, baada ya BWANA kumwambia Ayubu maneno hayo, BWANA akamwambia huyo Elifazi Mtemani, Hasira zangu zinawaka juu yako, na juu ya hao rafiki zako wawili; kwa kuwa ninyi hamkunena yaliyo sawa katika habari zangu, kama alivyonena mtumishi wangu Ayubu.


Rudini, nawasihi, lisiwe neno la udhalimu; Naam, rudini tena, neno langu ni la haki.


Ndipo mtakaporudi, nanyi mtapambanua kati ya wenye haki na waovu, kati ya yeye amtumikiaye Mungu na yeye asiyemtumikia.


Yuko wapi mwenye hekima? Yuko wapi mwandishi? Yuko wapi mleta hoja wa nyakati hizi? Je! Mungu hakuifanya hekima ya dunia kuwa ni upumbavu?


Nasema hayo nipate kuwatahayarisha. Je! Ndivyo, kwamba kwenu hakuna hata mtu mmoja mwenye hekima, awezaye kukata maneno ya ndugu zake?