Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 16:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini sasa amenichokesha; Jamii yangu yote umeifanya ukiwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kweli Mungu amenichakaza ameharibu kila kitu karibu nami.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kweli Mungu amenichakaza ameharibu kila kitu karibu nami.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kweli Mungu amenichakaza ameharibu kila kitu karibu nami.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ee Mungu, hakika umenichakaza; umewaangamiza kabisa watu wa nyumbani mwangu wote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ee Mungu, hakika umenichakaza; umewaangamiza kabisa watu wa nyumbani mwangu wote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini sasa amenichosha; Jamii yangu yote umeifanya ukiwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 16:7
13 Marejeleo ya Msalaba  

Nayachukia maisha yangu; Nitayasema malalamiko yangu wazi; Nitanena kwa uchungu wa roho yangu.


Rafiki zangu hunidharau; Lakini jicho langu humwagia Mungu machozi;


Amewaweka ndugu zangu mbali nami, Na wanijuao wametengwa nami kabisa.


Huko waovu huacha kusumbua; Huko nako hao waliochoka wanapumzika.


Je! Si kwamba sina msaada ndani yangu. Tena kwamba kufanikiwa kumeondolewa mbali nami?


Ninadhoofika; sitaishi sikuzote; Usinisumbue, kwani siku zangu ni uvuvio.


Hivyo basi nami nimepewa miezi ya ubatili iwe fungu langu, Nami nimeandikiwa mateso usiku hata usiku.


Bwana MUNGU amenipa ulimi wa hao wafundishwao, nipate kujua jinsi ya kumtegemeza kwa maneno yeye aliyechoka, huniamsha asubuhi baada ya asubuhi; huniamsha, sikio langu lipate kusikia kama watu wafundishwao.


Basi, kwa ajili ya hayo, mimi nami nimekupiga kwa pigo liumizalo sana; nimekufanya kuwa ukiwa, kwa sababu ya dhambi zako.