Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 16:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Je! Maneno yasiyo faida yatakuwa na mwisho? Au, kuna nini kinachokukasirisha, hata ukajibu?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwisho wa maneno haya matupu ni lini? Au ni kitu gani kinachowachochea kujibu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwisho wa maneno haya matupu ni lini? Au ni kitu gani kinachowachochea kujibu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwisho wa maneno haya matupu ni lini? Au ni kitu gani kinachowachochea kujibu?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, maneno yenu mengi yasiyo na maana hayana mwisho? Mna nini hata mwendelee kushindana kwa maneno?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, maneno yenu mengi yasiyo na maana hayana mwisho? Mna nini hata mwendelee kushindana kwa maneno?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Maneno yasiyo faida yatakuwa na mwisho? Au, kuna nini kinachokukasirisha, hata ukajibu?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 16:3
10 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Yapasa mtu mwenye hekima kujibu kwa ujuzi wa uvuvio, Na kulijaza tumbo lake upepo wa mashariki?


Nimesikia maonyo yanayonitahayarisha, Nayo roho ya ufahamu wangu hunijibu.


Tazama, ninyi nyote mmeyaona wenyewe; Mbona basi mmebatilika kabisa?


Je! Mwafikiri kuyakemea maneno? Maana maneno ya huyo aliyekata tamaa ni kama upepo.


Wewe utanena maneno haya hadi lini? Maneno ya kinywa chako yatakuwa kama upepo mkuu hadi lini?


Wala hakuweza mtu kumjibu neno; wala hakuthubutu mtu yeyote tangu siku ile kumwuliza neno tena.


Hao wanapindua watu wa nyumba nzima, wakifundisha yasiyowapasa kwa ajili ya mapato ya aibu.


na maneno yafaayo yasiyoweza kuhukumiwa makosa, ili yule mwenye kupinga atahayarike, kwa kuwa hana neno baya la kunena juu yetu.


Tena mumewe akafanya hivyo mwaka kwa mwaka, hapo yule mwanamke alipokwea kwenda nyumbani kwa BWANA, ndivyo yule alivyomchokoza; basi, kwa hiyo, yeye akalia, asile chakula.