Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 16:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hata sasa, tazama, shahidi wangu yuko mbinguni. Na huyo atakayenidhamini yuko juu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nina hakika ninaye shahidi wangu mbinguni, mwenye kunitetea yuko huko juu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nina hakika ninaye shahidi wangu mbinguni, mwenye kunitetea yuko huko juu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nina hakika ninaye shahidi wangu mbinguni, mwenye kunitetea yuko huko juu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hata sasa shahidi wangu yuko mbinguni; wakili wangu yuko juu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hata sasa shahidi wangu yuko mbinguni; wakili wangu yuko juu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hata sasa, tazama, shahidi wangu yuko mbinguni. Na huyo atakayenidhamini yuko juu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 16:19
16 Marejeleo ya Msalaba  

Ukiwatesa binti zangu, na ukitwaa wake zaidi ya binti zangu, wala hapana mtu pamoja nasi, tazama, Mungu ni shahidi kati ya mimi na wewe.


Ee nchi, usiifunike damu yangu, Na kilio changu kisipate mahali pa kupumzika.


Lakini mimi najua ya kuwa Mteteaji wangu yu hai, Na ya kuwa hatimaye atasimama juu ya nchi.


Enzi na hofu zi pamoja na Mungu; Hufanya amani katika mahali pake palipoinuka.


Kwani sehemu ya Mungu itokayo juu ingekuwa nini, Na urithi wa Mwenyezi utokao juu?


Ni nani aliye mfano wa BWANA, Mungu wetu aketiye juu;


Haleluya. Msifuni BWANA kutoka mbinguni; Msifuni katika mahali palipo juu.


Kitathibitika milele kama mwezi; Shahidi mwaminifu aliye mbinguni.


Kwa maana Mungu, nimwabuduye kwa roho yangu katika Injili ya Mwana wake, ni shahidi wangu jinsi niwatajavyo pasipo kukoma,


Nasema kweli katika Kristo, sisemi uongo, dhamiri yangu ikinishuhudia katika Roho Mtakatifu,


Lakini mimi namwita Mungu awe shahidi juu ya roho yangu, ya kwamba, kwa kuwahurumia sijafika Korintho.


Mungu, Baba wa Bwana Yesu, aliye mtukufu hata milele, anajua ya kuwa sisemi uongo.


Maana Mungu ni shahidi wangu, jinsi ninavyowaonea shauku ninyi nyote katika moyo wake Kristo Yesu.


Ninyi ni mashahidi, na Mungu pia, jinsi tulivyokaa kwenu ninyi mnaoamini, kwa utakatifu, na kwa haki, bila kulaumiwa;


Maana hatukuwa na maneno ya kujipendekeza wakati wowote, kama mjuavyo, wala maneno ya juu juu ya kuficha choyo; Mungu ni shahidi.


Akawaambia, BWANA ni shahidi juu yenu, na masihi wake ni shahidi leo, ya kuwa hamkuona kitu mkononi mwangu. Nao wakasema, Yeye ni shahidi.