Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 16:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ee nchi, usiifunike damu yangu, Na kilio changu kisipate mahali pa kupumzika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Ewe dunia, usiifunike damu yangu iliyomwagika; kilio changu kienee kila mahali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Ewe dunia, usiifunike damu yangu iliyomwagika; kilio changu kienee kila mahali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Ewe dunia, usiifunike damu yangu iliyomwagika; kilio changu kienee kila mahali.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Ee nchi, usiifunike damu yangu, nacho kilio changu kisinyamazishwe kamwe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Ee nchi, usiifunike damu yangu, nacho kilio changu kisinyamazishwe kamwe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ee nchi, usiifunike damu yangu, Na kilio changu kisipate mahali pa kupumzika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 16:18
13 Marejeleo ya Msalaba  

Basi sasa, umelaaniwa wewe katika ardhi, iliyofumbua kinywa chake ipokee damu ya ndugu yako kutoka kwa mkono wako;


wala usiusitiri uovu wao, wala isifutwe dhambi yao, mbele zako; kwa maana wamekukasirisha mbele ya hao wanaojenga.


Ijapokuwa hakuna udhalimu mikononi mwangu, Na kuomba kwangu ni safi.


Hata sasa, tazama, shahidi wangu yuko mbinguni. Na huyo atakayenidhamini yuko juu.


Je! Mungu atakisikia kilio chake, Taabu zitakapomfikia?


Ee BWANA, kilio changu na kikufikie, Unifahamishe sawasawa na neno lako.


Nanyi mkunjuapo mikono yenu, nitaficha macho yangu nisiwaone; naam, mwombapo maombi mengi, sitasikia; mikono yenu imejaa damu.


Kwa maana, tazama, BWANA anakuja kutoka mahali pake, ili kuwaadhibu wakaao duniani, kwa sababu ya uovu wao; ardhi nayo itafunua damu yake, wala haitawafunika tena watu wake waliouawa.


Ee nchi, nchi, nchi, lisikie neno la BWANA.


Maana damu yake imo ndani yake; aliiweka juu ya jabali lililo wazi; hakuimwaga juu ya nchi, apate kuifunika kwa mavumbi;