Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 16:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ijapokuwa hakuna udhalimu mikononi mwangu, Na kuomba kwangu ni safi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

ingawa sijafanya dhuluma kwa mkono wangu, na sala zangu kwa Mungu ni safi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

ingawa sijafanya dhuluma kwa mkono wangu, na sala zangu kwa Mungu ni safi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

ingawa sijafanya dhuluma kwa mkono wangu, na sala zangu kwa Mungu ni safi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hata hivyo mikono yangu haijafanya jeuri, na maombi yangu ni safi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hata hivyo mikono yangu haijafanya jeuri, na maombi yangu ni safi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ijapokuwa hakuna udhalimu mikononi mwangu, Na kuomba kwangu ni safi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 16:17
20 Marejeleo ya Msalaba  

Ikiwa una uovu mkononi mwako, uweke mbali nawe, Wala usikubali upuzi kukaa hemani mwako;


Mtu mwovu huwa na uchungu siku zake zote, Hata hesabu ya miaka aliyowekewa mwonevu.


Kwa kuwa jamii ya hao wasiomcha Mungu watakuwa tasa, Na moto utateketeza mahema yenye rushwa.


Ee nchi, usiifunike damu yangu, Na kilio changu kisipate mahali pa kupumzika.


Hakika midomo yangu haitanena yasiyo haki, Wala ulimi wangu hautatamka udanganyifu.


Mimi ni safi, sina makosa; Sina hatia, wala hapana uovu ndani yangu;


Ee BWANA, usikie haki, ukisikilize kilio changu, Utege sikio lako kwa maombi yangu, Yasiyotoka katika midomo ya hila.


Sadaka ya mtu mbaya ni chukizo kwa BWANA; Bali maombi ya mtu mnyofu ni furaha yake.


Nyavu zao hazitakuwa mavazi, wala hawatajifunika kwa kazi zao; kazi zao ni kazi za uovu, na vitendo vya udhalimu vimo mikononi mwao.


bali na wafunikwe nguo za magunia, mwanadamu na mnyama pia, nao wakamlilie Mungu kwa nguvu, naam, na wageuke, kila mtu akaache njia yake mbaya, na udhalimu ulio mikononi mwake.


Basi, nataka wanaume waombe kila mahali, huku wakiinua mikono iliyotakata pasipo hasira wala majadiliano.