Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 16:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hunivunja kwa uvunjifu juu ya uvunjifu; Hunishambulia mfano wa jitu shujaa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hunivunja na kunipiga tena na tena; hunishambulia kama askari.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hunivunja na kunipiga tena na tena; hunishambulia kama askari.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hunivunja na kunipiga tena na tena; hunishambulia kama askari.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huniponda tena na tena; hunishambulia kama shujaa wa vita.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huniponda tena na tena; hunishambulia kama shujaa wa vita.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hunivunja kwa uvunjifu juu ya uvunjifu; Hunishambulia mfano wa jitu shujaa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 16:14
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe umegeuka kuwa mkali kwangu; Nawe waniudhi kwa uweza wa mkono wako.


Yeye anipondaye kwa dhoruba, Na kuyaongeza majeraha yangu pasipokuwa na sababu.


Kilindi chapigia kelele kilindi kwa sauti ya maporomoko ya maji yako, Gharika zako zote na mawimbi yako yote yamepita juu yangu.


Hupiga mbio kama mashujaa; huupanda ukuta kama watu wa vita; nao huendelea mbele kila mmoja katika njia zake, wala hawapotoshi safu zao.


Ndipo akawashambulia vikali na kuwaua wengi, kisha akateremka na kukaa katika ufa wa jabali la Etamu.