Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 15:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naam, wewe wapuuza hofu ya Mungu, Nawe wazuia ibada mbele za Mungu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini wewe unapuuza uchaji wa Mungu; na kuzuia kutafakari mbele ya Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini wewe unapuuza uchaji wa Mungu; na kuzuia kutafakari mbele ya Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini wewe unapuuza uchaji wa Mungu; na kuzuia kutafakari mbele ya Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini unadhoofisha hata uchaji wa Mungu na kuzuia ibada mbele za Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini unadhoofisha hata uchaji wa Mungu na kuzuia ibada mbele za Mungu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naam, wewe wapuuza hofu ya Mungu, Nawe wazuia ibada mbele za Mungu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 15:4
15 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Ahoji na mazungumzo yasiyo na faida, Au kwa maneno ambayo hawezi kufanya mema kwayo?


Kwani uovu wako unakufundisha kinywa chako, Nawe wachagua ulimi wake mwenye hila.


Je! Atajifurahisha katika Mwenyezi, Na kumlingana Mungu nyakati zote?


Lakini mimi ningemtafuta Mungu, Ningemwekea Mungu kesi yangu;


Kwake huyo atakaye kuzima roho inapasa atendewe mema na rafiki; Hata kwake huyo aachaye kumcha Mwenyezi.


Wakati umewadia BWANA atende kazi; Kwa kuwa wameitangua sheria yako.


Wala hawakunililia kwa moyo, lakini wanalalamika vitandani mwao; hujikutanisha ili kupata nafaka na divai; huniasi mimi.


Na mjomba wa mtu atakapomwinua, yaani, yeye amchomaye moto, ili atoe mifupa yake nyumbani, naye atakapomwambia yeye aliye katika pande za ndani za nyumba, Je! Yuko mtu yeyote pamoja nawe? Naye atakaposema, La, hapana; ndipo atasema, Nyamaza kimya; maana hatuna ruhusa kulitaja jina la BWANA.


na hao waliorudi nyuma, na kuacha kumfuata BWANA; na hao wasiomtafuta BWANA, wala kumwulizia.


Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu sikuzote, wala wasikate tamaa.


Basi, je! Twaibatilisha sheria kwa imani hiyo? La hasha! Kinyume cha hayo twaithibitisha sheria.


Siibatili neema ya Mungu; maana, ikiwa haki hupatikana kwa njia ya sheria, basi Kristo alikufa bure.