Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 15:35 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wao hutunga mimba ya madhara, na kuzaa uovu, Na mioyo yao hutunga udanganyifu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wanatunga udanganyifu na kuzaa uovu. Mioyo yao hupanga udanganyifu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wanatunga udanganyifu na kuzaa uovu. Mioyo yao hupanga udanganyifu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wanatunga udanganyifu na kuzaa uovu. mioyo yao hupanga udanganyifu.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hutunga mimba ya madhara na kuzaa uovu; tumbo zao huumba udanganyifu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hutunga mimba ya madhara na kuzaa uovu; matumbo yao huumba udanganyifu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wao hutunga mimba ya madhara, na kuzaa uovu, Na mioyo yao hutunga udanganyifu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 15:35
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Ayubu akajibu, na kusema,


Kama mimi nilivyoona, hao walimao maovu, Na kupanda madhara, huvuna yayo hayo.


Kwani taabu haitoki mchangani, Wala mashaka hayachipuki katika nchi;


Tazama, huyu ametunga uovu, Amechukua mimba ya madhara, amezaa uongo.


Amechimba shimo, amelichimba chini sana, Akatumbukia katika handaki aliyoichimba!


Kwa maana moyo wao hufikiri dhuluma, Na midomo yao huongea madhara.


Mmelima dhuluma, mmevuna uovu; mmekula matunda ya uongo; kwa maana uliitumainia njia yako, na wingi wa mashujaa wako.


Ole wao wakusudiao mambo maovu, na kutenda mabaya vitandani mwao! Kunapopambazuka asubuhi huyafanya, sababu wana uwezo mikononi mwao.


Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti.